johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #101
Geita wameniangusha sana!Hawapiti stand hawa. Huyu alikuwa mkuu wa wilaya ya Same kabla hajateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Geita. Stand ya wilaya ya Same ina lami. Stand ya makao makuu ya mkoa kuwa ya vumbi ni aibu. Sijafika mikoa yote Tanzania, lakini stand nyingi makao makuu ya mikoa ni lami.
Sent using Jamii Forums mobile app
Philipo Linda heshima yako JF kwa kuacha Kutetea Mambo ya hovyoTunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Labda njiwaNdege zinatua kila Jumatatu, Alhamisi na Jumamosi
Wamekuangusha kama nani?Geita wameniangusha sana!
ni 5 Tena kwa msukuma na CCMMkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
umeongea kitu cha maana sana!! wengi ya waafrika tunaangalia kesho yake tu!! Hatuangalii wakati ujao!! Huo uwanja wa ndege utakuja kutufaa baadae fursa za mikoa hiyo ikifunguka!!Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Tafuta mwanaume chato huenda kiu yako itaishaStendi ya Chato pia Ina matope?
Unafahamu kwamba uwanja huo haujawahi kupangiwa budget?, haujawahi kupitishwa na bunge? Unafahamu budget hupangwa kwa kufuata umuhimu (vipaumbele - priorities)? Kama maeneo muhimu ya elimu, afya nk, hayajatengemaa, kuna kipaumbele chochote kujenga uwanja wa ndege wenye hadhi ya "International airport" hapo Chato na kuuacha uje uwafae wajukuu wetu miaka 50 ijayo?Vyote ulivyotaja vinatengewa pesa siku zote.
Pakubwa sana. Huyo Msukuma inafaa ajitafakari. Naona yeye ni kupigia debe bangi tu huko bungeni na kuponda wasomi.Geita wameniangusha sana!
Uliujenga wa nini sasa,basi jengeni kila sehemu Ili uendelee kusubiria fursa kufunguka.Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Linasubilia mda gani? Miaka 60 tayari na mikoa inaongoza kwa ufukara.Airport zote Tanzania zinakarabatiwa na zote ni muhimu.
Kumbuka ukanda ule ardhi yake ni madini matupu hivyo ni suala la muda tu maendeleo kufika.
Na vipi thamani ya pesa kwa kuilaza hapo kwa muda wote huo badala ya kuipeleka ikatatue matatizo ya vipaumbele kwa sasa? Pia uwanja na facilities zingine zilizojengwa hapo, baada ya muda mrefu zitahitaji matengenezo (depreciation iko pale pale) kwenye kitu kisichotumika kwa wakati huu.umeongea kitu cha maana sana!! wengi ya waafrika tunaangalia kesho yake tu!! Hatuangalii wakati ujao!! Huo uwanja wa ndege utakuja kutufaa baadae fursa za mikoa hiyo ikifunguka!!
Hata kama ni vya kijinga lakin stendi kufikia hatua hii kama ya bukoba huu ni upumbavu wa viongoziWatanzania wanavyokomaaga na vitu vya kijinga utadhani vinawasaidia wananchi.
Ma vitu kama stendi sijui masoko yanasaidia vipi mtu wa kawaida? Maana kutumia hizo huduma lazima kulipia.
Mbona hamshangazwi na watoto kukaa chini,kurundikana madarasani kutokuwa na vyoo vya kutosha,maji,huduma za afya na barabara? Ila stendi ndio imemshangaza? Ajabu kweli kweli
🤣🤣🤣Wapi kigwa,Ila mkoa wa Tabora Kama wamelogwa walah pesa ipo sema miundombinu ya hovyo hatareeAu Stand ya jimbo la yule Vuvuzela Hamisi Kigwangalla
Mwen’zake alikuwa mbinafsi mno kujenga uwanja wa kimataifa kijijini kwake ilhali mkoani stend ni ya matope.Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Ww na ushuzi hamna tofautiMwendazake amewaharibia sana, japo hata kabila lake plus elimu yake vina utata sana
Mimi nafikiri shida inaanzia kwenye vipaumbele ( first things first). Unaanzaje kujenga stendi (uwanja) ya ndege kabla ya stendi ya magari, hali ukijua asilimia kubwa ya wananchi wa eneo husika wanatumia usafiri wa barabara?Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya