RC mpya wa Geita ashangaa stendi kuu ya Mkoa kuwa ya matope wakati kuna utajiri wa dhahabu

RC mpya wa Geita ashangaa stendi kuu ya Mkoa kuwa ya matope wakati kuna utajiri wa dhahabu

Watu wa Geita wanapanda ndege tu hadi Chato Int. Airport na kurudi makwao kwa private cars naamini.
Hiyo stendi imejengwa mwaka juzi tuu hapa huyu naye anataka kuanza kuijenga upya??? Aiseee fedha za walalahoi zinatumika kifala Sana,

huyu Maza atulize mkebe nonsense!
 
Aje Igunga alipokuwa tajiri rostam atazimia,stendi Kama shamba la mpunga,vumbi Kama lote,mvua ikinyesha shida,afu rostam alipostaafu eti wazee wa Igunga wakamlilia,Kama si kulogwa ni Nini huku?🤣🤣
 
Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.

Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.

Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.

Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Hivi chato unapajua au, kule ni matakoni mwa nchi
 
Hivi hiyo pesa iliyowekwa hapo ikisubiri miaka 30 au 50 ijayo iweze kuleta hiyo maana, leo hii isingetumika kujenga madarasa, kutengeneza madawati, kusambaza vitabu mashuleni, kujenga mahospitali, kusambaza madawa mahospitalini nk? Au kote huko tumejitosheleza hadi tukazilaze pesa hizo hapo Chato zije ziwafaidishe wajukuu wetu miaka 50 ijayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Vyote ulivyotaja vinatengewa pesa siku zote.
 
Maviete ya wakurugenzi wananunua, viunua migongo vya wabunge vipo, ila madawati, madarasa, stendi, wanataka wananchi wajenge...nonsense!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kaharibu humu jukwaani huko kwa wananchi wamelia na kuomboleza sana.

Wasukuma wanaonewa kutukanwa, nchi yetu ilikosa nidhamu kabla ya hayati.

Nimezungushwa miaka 29 kupata hati ya ardhi yangu pale wizarani mpaka alipoingia JPM ndio nimeipata.

Matapeli wa wizarani na wale wa mikocheni walikuwa na timu inayodhulumu watu. Hayati alimaliza kabisa upumbavu huo.

Wengi wanaomtukana ni wa humu jukwaani sio wananchi wa kawaida.

Aje Igunga alipokuwa tajiri rostam atazimia,stendi Kama shamba la mpunga,vumbi Kama lote,mvua ikinyesha shida,afu rostam alipostaafu eti wazee wa Igunga wakamlilia,Kama si kulogwa ni Nini huku?🤣🤣
Au Stand ya jimbo la yule Vuvuzela Hamisi Kigwangalla
 
Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.

RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.

Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.

Chanzo: ITV habari!
Huyu itakuwa kashuka toka Mars au Pluto... ina maana hajaziona stand zingine huko njiani alikopita wakati anaelekea kwenye uteuzi wake?
 
Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.

Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.

Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.

Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Acha kujimwambafai kaanike michembe, matobolwa na likubi lya siili hapo uwanjani
 
Huyu itakuwa kashuka toka Mars au Pluto... ina maana hajaziona stand zingine huko njiani alikopita wakati anaelekea kwenye uteuzi wake?
Hawapiti stand hawa. Huyu alikuwa mkuu wa wilaya ya Same kabla hajateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Geita. Stand ya wilaya ya Same ina lami. Stand ya makao makuu ya mkoa kuwa ya vumbi ni aibu. Sijafika mikoa yote Tanzania, lakini stand nyingi makao makuu ya mikoa ni lami.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom