Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekudanganya huyo ili uogope kurogwa!Tangu lini Tanga kuna Wamarangu? 😳😳😳
Hiyo stendi imejengwa mwaka juzi tuu hapa huyu naye anataka kuanza kuijenga upya??? Aiseee fedha za walalahoi zinatumika kifala Sana,Watu wa Geita wanapanda ndege tu hadi Chato Int. Airport na kurudi makwao kwa private cars naamini.
Amekudanganya huyo ili uogope kurogwa!
Ndege zinatua kila Jumatatu, Alhamisi na JumamosiMbona hashangai uwanja wa ndege huku hakuna ndege zinazotua hapo?
Hivi chato unapajua au, kule ni matakoni mwa nchiTunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Hujafika Chato wewe, acha kudanganya watustand ya chato ni dhofilihali
Ujakosea mkuu🤝🤝Shida ni viongozi wanajisahau, labda huyo RC mpya awe na maono na mipango thabiti
Kuna siku patakuja kuwa usoni.Hivi chato unapajua au, kule ni matakoni mwa nchi
Vyote ulivyotaja vinatengewa pesa siku zote.Hivi hiyo pesa iliyowekwa hapo ikisubiri miaka 30 au 50 ijayo iweze kuleta hiyo maana, leo hii isingetumika kujenga madarasa, kutengeneza madawati, kusambaza vitabu mashuleni, kujenga mahospitali, kusambaza madawa mahospitalini nk? Au kote huko tumejitosheleza hadi tukazilaze pesa hizo hapo Chato zije ziwafaidishe wajukuu wetu miaka 50 ijayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaharibu humu jukwaani huko kwa wananchi wamelia na kuomboleza sana.
Wasukuma wanaonewa kutukanwa, nchi yetu ilikosa nidhamu kabla ya hayati.
Nimezungushwa miaka 29 kupata hati ya ardhi yangu pale wizarani mpaka alipoingia JPM ndio nimeipata.
Matapeli wa wizarani na wale wa mikocheni walikuwa na timu inayodhulumu watu. Hayati alimaliza kabisa upumbavu huo.
Wengi wanaomtukana ni wa humu jukwaani sio wananchi wa kawaida.
Au Stand ya jimbo la yule Vuvuzela Hamisi KigwangallaAje Igunga alipokuwa tajiri rostam atazimia,stendi Kama shamba la mpunga,vumbi Kama lote,mvua ikinyesha shida,afu rostam alipostaafu eti wazee wa Igunga wakamlilia,Kama si kulogwa ni Nini huku?🤣🤣
Dhahabu ya Geita imeshalipa uwanja wa kukausha mahindi Chato-Stendi ya Chato pia Ina matope?
Sawa bwana bukililo urakoze chaneKuna siku patakuja kuwa usoni.
Urakoze kushima.Sawa bwana bukililo urakoze chane
Huyu itakuwa kashuka toka Mars au Pluto... ina maana hajaziona stand zingine huko njiani alikopita wakati anaelekea kwenye uteuzi wake?Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Acha uongo. Chato kuna stendi mpya ya kisasa ujenzi umefika 90%stand ya chato ni dhofilihali
Acha kujimwambafai kaanike michembe, matobolwa na likubi lya siili hapo uwanjaniTunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Hawapiti stand hawa. Huyu alikuwa mkuu wa wilaya ya Same kabla hajateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Geita. Stand ya wilaya ya Same ina lami. Stand ya makao makuu ya mkoa kuwa ya vumbi ni aibu. Sijafika mikoa yote Tanzania, lakini stand nyingi makao makuu ya mikoa ni lami.Huyu itakuwa kashuka toka Mars au Pluto... ina maana hajaziona stand zingine huko njiani alikopita wakati anaelekea kwenye uteuzi wake?