Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo Bakhresa havipati hivi?Maisha ni amani ya moyo na raha nafsini. Kama Chalamila anavipata hivi vitu basi yeye ni tajiri kuliko Bakhresa.
Kweli ni ndege mnana aliefukuzwa tunduni [emoji23][emoji23][emoji23]
sijawahi mkubali huyu jamaa kisiasa lakini hii kazi ya uimbaji alianza tangu zamani ana nyimbo kama÷Kule kwenye u-RC alipoteza muda, angewahi huku sasa hivi angekua na himaya kama Mwamposa na Gwajima.
Mi sitasahau kabisa ile kauli yake pendwa... "SISI WANAUME NI WA YOYOTE"Kwa namna alivyoimba kwa hisia kali na uwezo mkubwa wadau wamshauri aingie Studio .
Nilichogundua ni kwamba sometimes uongozi unaminya vipaji .
View attachment 2127046
DuhHa haaaaa daaah! Ukipata cheo unavimba, ukikosa unakimbilia Kwa jehova, Mwenyezi Mungu ni kimbilio la wanyonge na loosers
Kwa namna alivyoimba kwa hisia kali na uwezo mkubwa wadau wamshauri aingie Studio .
Nilichogundua ni kwamba sometimes uongozi unaminya vipaji .
View attachment 2127046
[emoji38][emoji38][emoji38]Alisema walokole wanapiga makelele
Mnakumbuka watu wanywe Bia
Hawana ujanja wa kuishi nje ya mshahara hawaStress tunazo sisi hawa jamaa wana maisha yao mazuri sana kuliko hata yetu walitumia opportunity vizuri sana
Si wanasema anauza misumali Iringa !Hawana ujanja wa kuishi nje ya mshahara hawa