#COVID19 RC Mtaka: Hali si shwari Dodoma. Wananchi waendelee kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona

#COVID19 RC Mtaka: Hali si shwari Dodoma. Wananchi waendelee kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona

Kufeni na mtakufa kweli, si mlikataa? Si mlisema chadema imetumwa na mabeberu? Msiwage Wapuuzi, msiwe mnaweka siasa kwenye kila kitu. Acheni mjifunze in a hardway
Shetani toka.
 
Hahaahhaahah kaeni mkao wa kuomboleza! Niliwaambia mkatukana sana sana. Hatujasahau, I told you, Siku yenu inakuja, sikujua kama ingekuja kwa haraka hivi
Shushapumzi.
 
Back
Top Bottom