Pre GE2025 RC Mtanda akana kuhusika kukamatwa kwa makada na viongozi 20 wa CHADEMA Mwanza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Dada angu mbona umepanic
 
ujinga uko ccm unawapiga watanzania walipa kodi kwenye ofisi ya serikali kwani kunashida gani kuwakaribisha kisha kuwaelekeza kistaarabu,halafu kwa ujinga anasema hanataarifa ya kupigwa wakati wako eneo la ofisi yake
Wanalipa kodi wapi hao wazururaji tu na hawana shughuli za kueleweka za kuwaingizia vipato

weka hapa shughuli wafanyazo na vipato vyao na kodi walizolipa TRA

Iko haja kila anayetaka kumuona kionhoxi wa serikali kwanza aonyeshe kama yeye ni mlipa kodi na ushahidi wa kodi alizolipa serikalini ndipo asikilizwe
Akiwemo Lisu na Godbless Lema
 
huu upumbavu utaupata tu ccm
 
Pumbavu!
 
Mwanzo wa uchangiaji wako nilidhani kuwa una kichwa kisichokuwa na ubongo lkn kwa mchango wako huu nimejiridhisha pasi na shaka kuwa vyote viwili hauna.
 
Hii nchi Haina amani kama wengi wanavyodhani
 
Kama RC anamaanisha katika hiyo kauli yake, atoe agizo la kukamatwa hayo mashetani yaliyojificha ndani ya jeshi la polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…