Pre GE2025 RC Mtanda akana kuhusika kukamatwa kwa makada na viongozi 20 wa CHADEMA Mwanza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenye kila majengo ya Ofisi za Wakuu wa Mikoa huwa kunakuwa Ofisi au Chumba Cha Mikutano, kwa Nini hao Watu 20 tu wangeruhusiwa kukutana na huyo Mkuu wa Mkoa kwenye hicho Chumba Cha Mikutano hapo Ofisini kwake?
Watu 20 ni idadi ndogo sana ya Watu, isingeshindikana kukutana nao wote hao kwenye chumba kimoja Cha mikutano au kwenye ukumbi Mdogo vwa mikutano hapo Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…