RC Mtanda: Naviachia Vyombo vya Usalama kuchunguza kama nilihusika kwa namna yoyote kwenye tuhuma za ulawiti zinazomkabili Dkt. Nawanda

Kwani rosti tamu alisemaje kuhusiana na mahakama zetu
 
Kenge wa, ki islam, angekuwa,amebakwa binti wa, ki islam, hata mama wa kurembua angefanya kitu, ila kwa vile ni binti wa kikristo, na mibakaji, ni ki islam tena swala tano,mama wa kurembua hajuhi afanye nini, maana kwenye dini Yao, kutatuliwa makario ni jambo LA kawaida, vibinti kibao zenj, havina malinda kqbisa
 
Kwa nchi zinazoendelewa kwa manufaa ya heshima yake na kwa manufaa ya public interest huyo RC alitakiwa ajiuzulu. Huwezi kufanyiwa uchunguzi ukiwa bado RC unaleta conflict of Interest. Sijui kwanini hawapendi kujiuzulu
This is Africa
 
Wewe nae ni mpuuzi tu, dini inahusika vipi hapo?

Tumbafu kabhisa!
 
asiviachie vyombo vya habari, anatakiwa kujiuzuru au la afukuzwe kazi leo leo. kwahiyo anafikiri yule binti angepata wapi ujasiri wa kueleza juu yake kwa ufasaha namna ile? kwamba ametunga? kwamba naye anawindwa? samia anatakiwa kumwondoa huyu.
 
Hyo inawasaidia vp wananchi?? Mnashabikia petty issues,ujinga ujinga tu. Ndo maana CCM inawachakaza,

Wewe njumu za kosovo ''dislike'' pumbulako, unakujaje kudislike post zangu, umetumwa au?
Tulia kijana sisi ni wazee tunaopenda haki ,hata wewe Mjuni watu wakikula taqor tutakutetea hapa kwahiyo usijali saaana watetezi wako tupo hapa
 
Tulia kijana sisi ni wazee tunaopenda haki ,hata wewe Mjuni watu wakikula taqor tutakutetea hapa kwahiyo usijali saaana watetezi wako tupo hapa
Mnitetee kwa nini wakati mimi ndio nimeamua kuliwa tako? Hivi mna akili timamu kweli?
 
NDIO ALIHUSIKA
 
Tulia kijana sisi ni wazee tunaopenda haki ,hata wewe Mjuni watu wakikula taqor tutakutetea hapa kwahiyo usijali saaana watetezi wako tupo hapa
Teteeni maslahi ya Nchi kwanza kama Gen Z pale kenya,na upigaji ambao CCM wanatufanyoa,,siyo mnajikita kwenye pitty issues
 
Malaya (prostitute)ni muuzaji anayetoa mwili in exchange for money, siyo mnunuzi, mnunuzi anaweza kuitwa mzinzi, muasherati, muhuni, fuska etc etc ila siyo malaya. Mteja wa malaya hawezi kuitwa prostitute. Prostitute ni muuzaji na siku hz wapo wanaume wanajiuza mashoga na magigolo, kama inakuuma wanawake pekee kuitwa malaya.
Waliomtongoza ndiyo malaya zaidi
 
Pengine wanamchafua tu RC......siasa sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…