RC Mtanda: Naviachia Vyombo vya Usalama kuchunguza kama nilihusika kwa namna yoyote kwenye tuhuma za ulawiti zinazomkabili Dkt. Nawanda

Walawiti wanajuana na wanateteana vibaya sana, tena wanapendana mno. Wakimsikia mwenzao mmoja makubwa yememfika, utawaona jinsi wanavyotoka hadharani kumtetea. Mungu anawaona nyie ibilisi wakubwa waharibifu wa matundu ya watoto wa watu.
 
Vyombo gani vya usalama wakati yeye amehusika kuvisuppress visifanye kazi yake??? amejaza mapete vidoleni utadhani mpunga majini, yaani tiss salamu zao! Mungu atulipie kisasi kwa mabaya wanayotutendea watanzania.
Shetanii ni kiumbe cha hovyo sana.
SHETANI NI MShenzi sana .
 
Kwa nchi zinazoendelewa kwa manufaa ya heshima yake na kwa manufaa ya public interest huyo RC alitakiwa ajiuzulu. Huwezi kufanyiwa uchunguzi ukiwa bado RC unaleta conflict of Interest. Sijui kwanini hawapendi kujiuzulu
Njaa mbaya sana 📌📌📌
 
MTANDA anadai kutohusika na jambo lolote juu ya binti aliyelawitiwa lakini ajue vyombo vya uchunguzi kama vinataka kumuweka wazi kwa maneno aliyoyasema na wanahabari kwamba hakuwahi kuwasiliana na TUMSIME je endapo namba yake itabainika ilikuwemo kwenye mawasiliano ya binti huyo kwa tarehe tajwa atafanya nini!

Mtu kama MTANDA unasema uongo kwa binti yako wa miaka 21 uonekane mwema kwenye jamii! Hivi uongozi mlionao mpo kwa ajiri ya kuharibu kizazi cha watu wenye kipato cha chini, ! Nilitegemea utubu dhambi zako kwani hayo unayojaribu kukwepa uliyafanya mbele ya Askari wa mwanza na taarifa zako zipo Leo hii unaongea kwa kujiamini kisa umekuwa kiongozi ukiwa na miaka 17 kwani kusema hivyo ndiyo unaonekana mwadilifu! Hutambui kuwa kuna watu wanakua hadi uzeeni NI wajinga ! Hivyo viti mnavyokalia viheshimuni kwa kusaidia watu wenye shida siyo kukandamiza watu ambao hawapo kwenye mfumo.

Binafsi nasema NI aibu kuwa na kiongozi Aina ya RC MTANDA unatoka hadharani huku unatoa zawadi kwa Askari polisi waliofanya vizuri kwenye sherehe yao unasema vyombo vichunguze wewe kama umehusika kufifisha kesi ya binti huyo huku vyombo hivyo vya uchunguzi viko chini yako ndani ya mkoa kwanini usijiuzuru ukavipa mwanya wakafanya kazi hiyo.
 
Mmh Hilo suala litaenda mbali Sanaa na mwisho wake RC kama amehusika itakuwa haileti maana ya uongozi, ni jambo la kufatiliwa kabisa
 
Ajiuzuru kwanza vyombo vya dola viwe huru!
 
Akae pembeni wakati wa uchunguzi. Anataka vyombo vimchunguze wakati yeye ndio anavisimamia!
 
Anasema hivyo kwa sababu anajua hakuna uchunguzi wowote unaoendelea! Mke wa Kaisari hastahili hata kushukiwa kuwa ni msinzi! Kiongozi wa serikali mkubwa kushiriki kuficha jinai ni kosa kubwa sana! Na ikumbukwe kuwa wawili hawa ni ndugu!
 
Uzuri wengine tunakufahamu vizuri wala hutudanganyi.
 
Halafu dogo anamwita kwa jina moja tu Nawanda.

Hapo ameshamdharau na kumuona kama msela fulani hivi kumbe mteule wa Rais.

Haya majamaa yanamuaibisha sana Rais aliyewateua.
 
Hebu tuwekeeni vifungu vya sheria.

Mbona mashoga hawakamatwi?

Kama kuna sheria kama hiyo, basi ni ya kipuuzi. Unawekaje sheria kwa kitu ambacho mtu anakifanya wakati wamapenzi akiwa amejificha chumbani?
Kifungu cha 154 cha kanuni za adhabu ama penal code inakataza un natural offence.
 
Kiongozi ni kioo cha jamii.lakini zama hizi imekuwa kinyume kabisaa!!!
hatuna viongozi waadilifu!!!! Uhuni uzinzi, usaliti ndio umeshamiri maofisini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…