mwanauvinza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 365
- 1,050
Polisi Jamii ni Mgambo tu hawezi kuwa Askari wa Jeshi la Polisi. Ni mgambo kama migambo wengine tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MREJESHO:Huyo Malima ni MGAMBO(lakini kwa kuwa jina la Mgambo hawalipendi)huwa wanajiita Polisi Jamii au Ulinzi Shirikishi.Kaka Police Jamii ni Idara ndani Jeshi la Polisi.
Je mtoa mada atuambie huyu mlalamikiwa ni Askari wa idara hiyo ama ni wale Ulinzi Shirikishi (Sungusungu) ?
'Idara ndani ya jeshi la polisi' your ass!Mnachanganya.
Polisi jamii ni idara ndano ya jeshi la polisi.
Mgambo wa mkurugenzi hawaingii hapo ktk category ya PJ
Kamateni huyo kibaka mumchome moto kama vibaka wengine tu.Nala ya kwanza mpaka Jamaica ndio maeneo yake,yaani Wake zetu wakimuona anapita hujifungia ndani kwa jinsi alivyo mnyanyasaji,Nchi imekuwa na mambo ya ajabu sana hii. Diwani yupo na anajua,Mtendaji wa Mtaa yupo na anajua lakini wanafumbia macho hali hii
Hiyo 'idara' ndo umeiweka wewe?Kaka Police Jamii ni Idara ndani Jeshi la Polisi.
Je mtoa mada atuambie huyu mlalamikiwa ni Askari wa idara hiyo ama ni wale Ulinzi Shirikishi (Sungusungu) ?
Loooo!! Nimeumia sana kwamba ,wezi wa namna hii bado wapo na wanaendelea kutesa watu tena kwa kofia ya taasisi za serikaliNamfahamu huyo anayelalamikiwa Malima. Ni mpuuzi mmoja ambaye hata mimi alishawahi kunikuta napata bia zangu saa 5 Pub akaanza kunihoji eti kwa nini nakunywa Pombe muda wa kazi. Bila kuamuliwa na watu waliokuwa jirani ilikuwa nimng'oe meno. Ni kijamaa kipumbavu kinachoonea sana wananchi wasiojitambua hasa Wanawake. Anachokifanya huwa anachukua mfano TV yake au Subwoofer halafu anampa kijana anayefahamiana nae kisha anamwambia katafute Mteja hasa kwa vijana wenye viduka na vibiashara kule Nala. Kijana anaenda anauza huo mzigo. Kisha baada ya saa 1 huyu Malima anaenda na yule kijana aliyeenda kuuza akiwa amemfunga pingu mpaka pale alipouza. Anaanza kumtisha yule mnunuzi kwamba amenunua kitu cha Wizi na yupo chini ya ulinzi. Mnunuzi unakuta kweli mzigo bado upon palepale dukani kwake hivyo lazima aogope. Hivyo huyu Polisi Jamii anampiga Mnunuzi Mkwara inabidi mnunuzi akubali kuachia alichonunua kwa Malima bila kurudishiwa pesa yake. Malima anabeba mzigo wake anaurudisha kwake,kisha anarudi tena kwa mnunuzi kumtisha atoe pesa ili Kesi ifutwe kituoni. Kwa kuwa mnunuzi ni mshamba na muoga inabidi atoe pesa nyingine na kumpa huyo Malima bila kujua suala lote lilikuwa ni mpango.
Hivyo ni kijamaa kipumbavu sana sana
Sasa Mkuu kosa la kuombwa Rushwa ya Ngono ni Kifo kweli?Watanzania uzezeta umezidi, ukondoo wa kipuuzi sana huu,Kenya huwezu sikia malalamiko kama haya, hao Police jamii ingekuwa ni kenya wangekuwa futi 6 chini ya aridhi. Ukondooo umewazidi