Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #21
🤣🤣Acha kutulisha matango pori, Chato ni Wilaya iliyo ndani ya Mkoa wa Geita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Acha kutulisha matango pori, Chato ni Wilaya iliyo ndani ya Mkoa wa Geita
Kiongozi hatakiwi kutoa lugha ya namna hiyo.Daah aisee mbona kama ana ugomvi nao
Uko sahihi labda kuna ka mwanamke kamke ka mtu kafanyakazi la serikalini na mumewe hako ka mwanamke anafanya serikalini alitembea nako akakaona kananukaKiongozi hatakiwi kutoa lugha ya namna hiyo.
Hawa viongozi wa serikali wana Posho za mavazi na saluni ujue!
Ushawahi kumnusa Zumaridi wewe?Aache unafiki kwani Mfalme Zumaridi ni wawapi?
Mbona anaoga, anapuliza manukato na makeup kwa juu
Hayo manukato atawanunulia?Duh!
Amejuaje hawapaki manukato?
Mwanza, Mwanza, Mwanza!
Kwa kweli mmebahatika kuwa na maRC wenye vituko.
Huyu wa sasa naye sijui atatumbuliwa??? Hebu muangalieni hapa…
Muonekano kabla hajadakwa na baada ya kudakwa unaniaminisha.Ushawahi kumnusa Zumaridi wewe?
Labda!hayo manukato atawanunulia?
Kwani Zumaridi ananukia vizuri?Hajamuona Mfalme Zumaridi?
Kwani Zumaridi ananukia vizuri?