RC Robert Gabriel awachana wanawake wa Mwanza! Awataka wajifunze kuoga na kupulizia manukato

RC Robert Gabriel awachana wanawake wa Mwanza! Awataka wajifunze kuoga na kupulizia manukato

Kiongozi hatakiwi kutoa lugha ya namna hiyo.

Hawa viongozi wa serikali wana Posho za mavazi na saluni ujue!
Uko sahihi labda kuna ka mwanamke kamke ka mtu kafanyakazi la serikalini na mumewe hako ka mwanamke anafanya serikalini alitembea nako akakaona kananuka

Ndio anafoka wanaume wapeni wake zenu perfume kumbe hawana posho za mavazi na saloon yeye na mumewe

Hotuba take anakafokea la mume la huyo mwanamke katembea naye
 
Aache unafiki kwani Mfalme Zumaridi ni wawapi?

Mbona anaoga, anapuliza manukato na makeup kwa juu
 
Kama huyo ni RC kweli, basi raslimali za Taifa zinaungua kwa kasi sana, hatuna nafasi ya kupiga hatua.
 
HAHAH.. Anaongea na wananwake aibu anaona Nyani Ngabu.

Shiida.
 
Huyu Rc anaongea matope juu ya wamama aje?hiyo kuoga si kazi yake afanye kazi iliyomuweka huko.
Aliwanusa kwapa au?
 
Mbona mmenyanyua bango kiasi hicho? Kuna ubaya gani katika anayoyasema. Mbona ni porojo za kawaida katika kusherehesha shughuli yenyewe!
 
Back
Top Bottom