Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka JF nenda ukalime huko, utatoka kwenye umasikini.Ndiyo atatutoa kwenye umaskini huyu!!?
Wanaolima toka uhuru mbona ndiyo maskini wa kutupwa.Toka JF nenda ukalime huko, utatoka kwenye umasikini.
Mwanza, Mwanza, Mwanza!
Kwa kweli mmebahatika kuwa na maRC wenye vituko.
Huyu wa sasa naye sijui atatumbuliwa? Hebu muangalieni hapa…
🤣😅🤣 Bi Chura, si ndiyo?Nchi tamu Sana hii,
By the way huyu jamaa ni mpendwa wa mwendazake ndio maana alipewa Geita na Chato kwa pamoja usishangae alikuwa akimaanisha maushungi nasio wasukuma