Toka JF nenda ukalime huko, utatoka kwenye umasikini.Ndiyo atatutoa kwenye umaskini huyu!!?
Wanaolima toka uhuru mbona ndiyo maskini wa kutupwa.Toka JF nenda ukalime huko, utatoka kwenye umasikini.
π€£Mwanza, Mwanza, Mwanza!
Kwa kweli mmebahatika kuwa na maRC wenye vituko.
Huyu wa sasa naye sijui atatumbuliwa? Hebu muangalieni hapaβ¦
π€£π π€£ Bi Chura, si ndiyo?Nchi tamu Sana hii,
By the way huyu jamaa ni mpendwa wa mwendazake ndio maana alipewa Geita na Chato kwa pamoja usishangae alikuwa akimaanisha maushungi nasio wasukuma