RC Rose: Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya 5 Kakonko, Biharamulo, Ngara, Bukombe na Chato yenyewe

Muleba hawawezi kukubali ujinga wa kuchanganywa na watu wa Chato labda wawaingize kwa lazima. Zichukuliwe hizo jamii za watu wa Ngara,Kakonko,Biharamulo Bukombe na wenyewe Chato maana kitabia na kiutamaduni jamii zinazoshabiana sana. Tatizo la hizo jamii ni watu wake kuwa na akili ndogo,yaani hazinyumbuliki.
 
Hawana ubavu wenye mamlaka wakiamua hakuna kinachoshindikana.
 
Badala ya kuchukua wilaya ya ngara bora wachukue muleba ndio iende chato, pia mkoa wa Geita utakuwa na Kabila moja washubi hii sio nzuri kwa umoja wa kitaifa

..mimi sijafika maeneo ya ukanda wa ziwa nyanza.

..lakini mnavyozungumza hapa napata picha kana kwamba tunapaswa kuanza upya zoezi la kugawa mikoa kwa ukanda huo.

..na nadhani ni BUSARA serikali kufikiria maeneo mengine ambayo kuna uhitaji wa kugawa mikoa badala ya kusikiliza kilio cha eneo moja tu.
 
Kuna anayejua vigezo ambavyo hutumika kuunda hii mikoa?
 
Kimsingi hizi wilaya na mikoa mipya tunasogeza wala rushwa karibu na wananchi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…