The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
Hivi uko serious au??? Yaani kijiografia na kimila huwezi kuiondoa muleba kutoka KageraBadala ya kuchukua wilaya ya ngara bora wachukue muleba ndio iende chato, pia mkoa wa Geita utakuwa na Kabila moja washubi hii sio nzuri kwa umoja wa kitaifa