RC Rose: Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya 5 Kakonko, Biharamulo, Ngara, Bukombe na Chato yenyewe

RC Rose: Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya 5 Kakonko, Biharamulo, Ngara, Bukombe na Chato yenyewe

Na ni kweli bukoba,misenyi,muleba,karagwe na kyerwa zina maendeleo makubwa hasa ya vijijini na Hali ya maisha kiujumla tofauti na biharamulo na ngara.
Imagine Biharamulo ilikuwa wilaya ya pili Kwa umaskini nchini.

Pia wahaya wameachiwa mkoa wao sasa maana walitofautiana mno na biharamulo na ngara .


Mkoa usiitwe chato mkoa uitwe biharamulo na makao makuu yawe biharamulo.


Watu wasichangie kisiasa maana hata kuumega mkoa wa kagera ni Sawa Sana maana mkoa Una population density na population kubwa pia zaidi million 3 na density ya 120 per km.
Wanaoagalia umbali Tu ili ianzishwe mikoa ya kutoka tabora na Lindi wanakosea maana mikoa hiyo ina population ndogo na density pia
Kaka una akili sana
 
Uitwe mkoa wa Rubondo-neutral name. Mji wa kiutawala ubaki chato na kibiashara uwe biharamuro
Hivi unafahamu kwamba kisiwa cha Rubondo kiko Tarafa ya Bugando Wilaya ya Geita ? Sasa utasemaje mkoa mpya uitwe Rubondo ?
 
Hivi bado Kuna wakuu wa mikoa ambao wana hamu sana ya kupigwa mti kimasihara?
Unawezaje kuja na hayo mapendekezo?
Hivi tunajua gharama za kuanzisha mkoa mpya na kuuendesha?

Kabla ya Chato kuwa mkoa, nadhani uindwe kwanza hii mikoa.
1. Butiama.
2. Kisarawe.
3. Lupaso.
4. Msoga.

Itifaki ni muhimu kuzingatiwa kwanza.
Butiama ishapewa Wilaya
Kisarawe halijawahi kutoa Rais
Lupaso inakwenda kuwa Wilaya
Chalinze inapewa Wilaya
Chato wacha wajisikie kidogo, maana yeye kafia Madarakani

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Wengi wanaopinga humu ni wale wanatumia nauli sh 400/=kwenda kupata huduma mkoani. Hivi imagine mtu wa ngara ana kesi Bukoba mjini na anaudhuria karibia kila wiki au mara mbili kwa mwezi, huyu mtanzania wa hali ya chini ataweza??
Kiukwwli hizi wilaya zinahitaji kusogezewa kiuduma karibu
Solution ni nchi kuwa digitized na kuboresha transport system kama treni za umeme, ndege nk kwa bei ya chini hata barabara pia zipitike mikeka, subways system hiyo hata makao makuu yawe namtumbo mtu wa ngara atateleza tu.

Naota lakini ila nimeyaona kwa macho nina imani tutafika.
 
Kwa nini walazimishe hivyo mkoa wa Chato kuzaliwa ? Kwa nini uende ukapore Wilaya 3 za mikoa mingine Ili tu kutimiza adhma ya Mwendazake?
Tunamuenzi shujaa wetu ambaye alikuwa na hiyo ndoto kwa kuwa katufanyia mambo makubwa sana ikiwemo ujenzi wa miundombinu na kufufua mashirika mbalimbali kama ATCL, ujenzi wa SGR, Bwawa la Nyerere, kufufua TAFIRI shirika la uvuvi,ujenzi daraja la Sarenda, WAMI, ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, ujenzi wa shule nchi nzima, flyover mfugale na kijazi, stend mpya mbezi Luis na zingine nchi nzima ikiwemo ya dodoma, maji kutoka ziwa Victoria kuja Dodoma na miradi mingine mingi ambayo naweza kukesha kuorodhesha sasa kuna shida gani tukaipa heshima CHATO alipozaliwa na kukulia huyo shujaa wa Afrika.
 
Solution ni nchi kuwa digitized na kuboresha transport system kama treni za umeme, ndege nk kwa bei ya chini hata barabara pia zipitike mikeka, subways system hiyo hata makao makuu yawe namtumbo mtu wa ngara atateleza tu.

Naota lakini ila nimeyaona kwa macho nina imani tutafika.
[emoji3][emoji3]hayo uliyotaja kweli ndoto mkuu!! Maana hata maji tu yameshindikana.
 
Wengi wanaopinga humu ni wale wanatumia nauli sh 400/=kwenda kupata huduma mkoani. Hivi imagine mtu wa ngara ana kesi Bukoba mjini na anaudhuria karibia kila wiki au mara mbili kwa mwezi, huyu mtanzania wa hali ya chini ataweza??
Kiukwwli hizi wilaya zinahitaji kusogezewa kiuduma karibu

Na ikiwa mtu wa Ngara ana kesi Dodoma inakuwaje?
Basi ni vyema tujiulize kama mfumo wetu wa utawala kiserikali uko sawa. Hii dhana ya kuanzisha mikoa kwa lengo la “kusogeza” huduma au maendeleo kwa wananchi haina mantiki katika zama hizi. Ni kutaka kuongeza wigo wa ukiritimba na ulaji kwa wateule wa wanasiasa.
Tunahangaika kutanua serikali kuu mikoani huku tukidhoofisha serikali za mitaa ambazo ndizo zingekuwa zikiongoza utoaji huduma na kuchochea maendeleo ya maeneo yao kama ilivyo kwenye nchi zilizoendelea.
 
Tunamuenzi shujaa wetu ambaye alikuwa na hiyo ndoto kwa kuwa katufanyia mambo makubwa sana ikiwemo ujenzi wa miundombinu na kufufua mashirika mbalimbali kama ATCL, ujenzi wa SGR, Bwawa la Nyerere, kufufua TAFIRI shirika la uvuvi,ujenzi daraja la Sarenda, WAMI, ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, ujenzi wa shule nchi nzima, flyover mfugale na kijazi, stend mpya mbezi Luis na zingine nchi nzima ikiwemo ya dodoma, maji kutoka ziwa Victoria kuja Dodoma na miradi mingine mingi ambayo naweza kukesha kuorodhesha sasa kuna shida gani tukaipa heshima CHATO alipozaliwa na kukulia huyo shujaa wa Afrika.
Alizaliwa Katoma wilaya ya Geita akakulia Chato.
 
Back
Top Bottom