cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Inatosha wewe kama wewe una PhD isiyo na utataHuo mkoa wa Chato kama Meko kafa bila kuunda hautapata muundaji maana Chato mtu wao alikuwa huyo mmoja tu mwenye PhD yenye utata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatosha wewe kama wewe una PhD isiyo na utataHuo mkoa wa Chato kama Meko kafa bila kuunda hautapata muundaji maana Chato mtu wao alikuwa huyo mmoja tu mwenye PhD yenye utata
Bukombe watakuwa mbali na Makao Makui ya MkoaSawa Mkuu, ila ukitazama kwenye ramani hata hivyo mtu wa kutoka Bukombe ni kama Chato kwake ni mbali zaidi kuliko Geita
Ndoo hivyo kakaAma kweli kutangulia sio kufika! Hapo kabla, Chato ilikuwa ipo wilaya ya Biharamulo... leo hii Biharamulo inataka kuwa Mkoa wa Chato!
Hakika Everything happens for a reason!
Hapana ni afadhali kuliko BukobaKwa hilo ni kweli parefu sana shida ni namna ya mtu wa Ngara kufika Chato panakuwa parefu sana
Kaka una akili sanaNa ni kweli bukoba,misenyi,muleba,karagwe na kyerwa zina maendeleo makubwa hasa ya vijijini na Hali ya maisha kiujumla tofauti na biharamulo na ngara.
Imagine Biharamulo ilikuwa wilaya ya pili Kwa umaskini nchini.
Pia wahaya wameachiwa mkoa wao sasa maana walitofautiana mno na biharamulo na ngara .
Mkoa usiitwe chato mkoa uitwe biharamulo na makao makuu yawe biharamulo.
Watu wasichangie kisiasa maana hata kuumega mkoa wa kagera ni Sawa Sana maana mkoa Una population density na population kubwa pia zaidi million 3 na density ya 120 per km.
Wanaoagalia umbali Tu ili ianzishwe mikoa ya kutoka tabora na Lindi wanakosea maana mikoa hiyo ina population ndogo na density pia
Alikuwa bize kujenga zaidi familia yakeKwa Nini jk asingeanzisha mkoa wa msoga?
Hivi unafahamu kwamba kisiwa cha Rubondo kiko Tarafa ya Bugando Wilaya ya Geita ? Sasa utasemaje mkoa mpya uitwe Rubondo ?Uitwe mkoa wa Rubondo-neutral name. Mji wa kiutawala ubaki chato na kibiashara uwe biharamuro
Butiama ishapewa WilayaHivi bado Kuna wakuu wa mikoa ambao wana hamu sana ya kupigwa mti kimasihara?
Unawezaje kuja na hayo mapendekezo?
Hivi tunajua gharama za kuanzisha mkoa mpya na kuuendesha?
Kabla ya Chato kuwa mkoa, nadhani uindwe kwanza hii mikoa.
1. Butiama.
2. Kisarawe.
3. Lupaso.
4. Msoga.
Itifaki ni muhimu kuzingatiwa kwanza.
Solution ni nchi kuwa digitized na kuboresha transport system kama treni za umeme, ndege nk kwa bei ya chini hata barabara pia zipitike mikeka, subways system hiyo hata makao makuu yawe namtumbo mtu wa ngara atateleza tu.Wengi wanaopinga humu ni wale wanatumia nauli sh 400/=kwenda kupata huduma mkoani. Hivi imagine mtu wa ngara ana kesi Bukoba mjini na anaudhuria karibia kila wiki au mara mbili kwa mwezi, huyu mtanzania wa hali ya chini ataweza??
Kiukwwli hizi wilaya zinahitaji kusogezewa kiuduma karibu
Tunamuenzi shujaa wetu ambaye alikuwa na hiyo ndoto kwa kuwa katufanyia mambo makubwa sana ikiwemo ujenzi wa miundombinu na kufufua mashirika mbalimbali kama ATCL, ujenzi wa SGR, Bwawa la Nyerere, kufufua TAFIRI shirika la uvuvi,ujenzi daraja la Sarenda, WAMI, ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, ujenzi wa shule nchi nzima, flyover mfugale na kijazi, stend mpya mbezi Luis na zingine nchi nzima ikiwemo ya dodoma, maji kutoka ziwa Victoria kuja Dodoma na miradi mingine mingi ambayo naweza kukesha kuorodhesha sasa kuna shida gani tukaipa heshima CHATO alipozaliwa na kukulia huyo shujaa wa Afrika.Kwa nini walazimishe hivyo mkoa wa Chato kuzaliwa ? Kwa nini uende ukapore Wilaya 3 za mikoa mingine Ili tu kutimiza adhma ya Mwendazake?
[emoji3][emoji3]hayo uliyotaja kweli ndoto mkuu!! Maana hata maji tu yameshindikana.Solution ni nchi kuwa digitized na kuboresha transport system kama treni za umeme, ndege nk kwa bei ya chini hata barabara pia zipitike mikeka, subways system hiyo hata makao makuu yawe namtumbo mtu wa ngara atateleza tu.
Naota lakini ila nimeyaona kwa macho nina imani tutafika.
Kalemani boya tu na ile mimiwani yake ya kizeeDr Kalemani anatoka kwenu ?
Wengi wanaopinga humu ni wale wanatumia nauli sh 400/=kwenda kupata huduma mkoani. Hivi imagine mtu wa ngara ana kesi Bukoba mjini na anaudhuria karibia kila wiki au mara mbili kwa mwezi, huyu mtanzania wa hali ya chini ataweza??
Kiukwwli hizi wilaya zinahitaji kusogezewa kiuduma karibu
hapana nadhani inweza kua na miaka 6 au 7 sasaNi wilaya ya muda mrefu?
Sijawahi kufikiria kama pale kakonko panaweza kuwa wilaya,ndo maana nimeshangaahapana nadhani inweza kua na miaka 6 au 7 sasa
Alizaliwa Katoma wilaya ya Geita akakulia Chato.Tunamuenzi shujaa wetu ambaye alikuwa na hiyo ndoto kwa kuwa katufanyia mambo makubwa sana ikiwemo ujenzi wa miundombinu na kufufua mashirika mbalimbali kama ATCL, ujenzi wa SGR, Bwawa la Nyerere, kufufua TAFIRI shirika la uvuvi,ujenzi daraja la Sarenda, WAMI, ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, ujenzi wa shule nchi nzima, flyover mfugale na kijazi, stend mpya mbezi Luis na zingine nchi nzima ikiwemo ya dodoma, maji kutoka ziwa Victoria kuja Dodoma na miradi mingine mingi ambayo naweza kukesha kuorodhesha sasa kuna shida gani tukaipa heshima CHATO alipozaliwa na kukulia huyo shujaa wa Afrika.
pamebadilika hii miaka ya karibuni, mdogo mdogo panakuaSijawahi kufikiria kama pale kakonko panaweza kuwa wilaya,ndo maana nimeshangaa
Kweli kabisaSiye yetu macho
Mambo haya angeyataka mchonga meno leo hii Butiama ingekuwa mkoa
Hahaha mpaka raha yaaniHapa Wana ~Ccm Wanaguna Tu 😥😣😏🙄😶😑😐
Toka Pepo Mchafu!!!😆😅😄😃
Shindwa 😂😁😀😉
Legea Kama Mlenda 😆😅😄😃😂😁😁😀
HeheheeeJina Chato lina n.uksi tiyari mtatusababishia mikosi. Tafadhali huo mkoa upewe jina lingine