Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wilaya ya muda mrefu?hata sasa hivi kakonko ni wilaya
Sasa unataka umaskini usogezwe Biharamulo makao makuu badala ya kuuvutia pengine ukapunguzwe! Kumbuka pia Kakonko alikua wa kwanza kwa umaskini kwa hiyo kiujumla ni mkoa mpya wenye changamoto na inatakiwa wananchi wachangamke kuukwamua. Anzeni na kuchagua wawakilishi wenye akili za kuwakwamua wananchi na maeneo yao. Wabunge na madiwani, halafu mpewe viongozi wasimamizi wenye uthubutu. Hilo ni eneo potentials sana hasa katika kilimo na ufugaj.
Lakin bado ni mbali Sana. Yaan ushafika morogoro tayari ukitoka Dar.Hakuna umbali huo kati ya Ngara na Bukoba. Ukipita Karagwe ni KM 270 na ukipita Biharamulo ni KM 300. Pili KM haziwezi kuwa sababu ya kugawa kwa sasa, dunia inaelekea kuwa ya kidijitali na umbali wa kimawasiliano unazidi kupungua siku hadi siku.
Tunatumia sababu zisizo na mashiko kuongeza gharama za uendeshaji.
Hata kagera pia.Watz wengi sana ukisoma comments unaona ni wajinga, wana wivu na maendeleo ya nchi yao as if sehemu fulani ikiendelea sio ndani ya Jamhuri...wengine with very poor analytical skills wana compare mikoa yenye mapori kama Tabora na Morogoro wanq sahau Geita ni kati ya mikoa yenye population density kubwa per square kilometers. Unataka waanzishe mikoa ku service miti na mapori?
Hakuna kinachoshindikana Kwa serikaliBiharamulo vichwa maji tia maji tia maji sana. Wakipewa makao makuu ya mkoa haifumi pale. Hawana ali ya maendeleo pale. Majungu ndiyo yao, ndio maana kamebaki vile vile toka enzi za mjerumani mpaka leo. Ki wilaya ka wajuaji wasiojua kama hawajui. I rest my case.
Tuambie sababu ya JPM kuwachukia wahayaHujanipata sawia, alitaka Chato isichanganyike na wasio wasukuma. Kwake wasubi aliwaita wahaya; wanyambo pia aliwaita kuwa ni wahaya nao. Isipokuwa alipokuwa Katoke seminari alichangamana na wahangaza ambao kwake hawakuwa wahaya. Kwake ilimradi lugha yako inasikilizana na wahaya basi ni mhaya na tuseme ukweli hakuwapenda! Hivyo kitendo cha kuingiza biharamulo kuwa part ya chato inaua dhamira yake maana lugha yao inasabihiana na kihaya.
[emoji3][emoji3][emoji3]mtu anasema eti na Lindi itengwe!!! Hebu tuwe serious kidogo penye ukweli tuuseme, hili wazo ni zuriWatz wengi sana ukisoma comments unaona ni wajinga, wana wivu na maendeleo ya nchi yao as if sehemu fulani ikiendelea sio ndani ya Jamhuri...wengine with very poor analytical skills wana compare mikoa yenye mapori kama Tabora na Morogoro wanq sahau Geita ni kati ya mikoa yenye population density kubwa per square kilometers. Unataka waanzishe mikoa ku service miti na mapori?
Teacher pamoja na madhaifu yake lakini hakuwa na tamaa kabisaSiye yetu macho
Mambo haya angeyataka mchonga meno leo hii Butiama ingekuwa mkoa
Pay master wa wizara ya fedha ambaye ni mchaga amekwapua billioni 1.5 ndani ya miezi miwili.Vile kivuli cha Kayafa kinaendelea kudai mkoa wa Chato kupitia Samia![emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1800646
Alipendelea kila kituHuo mkoa wa Chato kama Meko kafa bila kuunda hautapata muundaji maana Chato mtu wao alikuwa huyo mmoja tu mwenye PhD yenye utata
Mchaga yupi mkuu? paymaster ni KM wa wizara mkuuPay master wa wizara ya fedha ambaye ni mchaga amekwapua billioni 1.5 ndani ya miezi miwili.
Ilitakiwa awe anaishi kwa kukimbia kimbia kama digidigi akiogopa kuwindwa....tz raha sanaHuyo karudia kazi yake ya kuchunga mbuzi..
Walisema utaitwa "Rubondo"Jina Chato lina n.uksi tiyari mtatusababishia mikosi. Tafadhali huo mkoa upewe jina lingine
Shinyanga si itabaki na wasukuma wa Maswa, Kishapu, Lohumbo na Shinyanga yenyewe: zenye utajiri wa almasi na ng'ombe. Kahama iungane na wanyamwezi wenzao kuunda mkoa wao wa mahama, zao linalopatikana kahama pekee hapa duniani lakini halitambuliki na sasa hivi karibu litapotea kwenye uso wa dunia.Mhh. Uitoe Kahama Shinyanga ibaki na nini ?
Wengi wanaochangia huu uzi sio wenyeji wa maeneo yale wanachangia tu kisiasa.Lakini kwa upande wangu naona ni poa kabisa. Hizi wilaya japo juu ziko mbali sana na makao makuu ya mikoa iliyo. Mfano Ngara to Bukoba ni mbali kuliko Ngara to chato. Kwa upande wangu naona imetulia tu.
Moshi tena???????Moshi ingeshakuwa mkoa zamani sana aisee.hembu angalieniangalieni
Makao makuu hayaangalii ukatikati wa eneo, Kuna factor nyingi ikiwemo miundombinu ya ku accommodate huduma na hadhi ya mkoa. Wilaya zingine walikua wanajipanga wakati Biharamulo inapiga porojo. Yaani hata kama B'mulo ingekua ina miundombinu ya kupokea makao makuu sawa tu, hata Kakonko au Ngara ingekua inajitosheleza ingekua vema tu lakini katika wilaya zote pendekezwa,Ni kweli kama watakuwa fair Bihalamuro pana deserve kumpunguzia umbali mtu wa Ngara na Kakonko nadhani na Bukombe