RC Said Mtanda amekuwa akituhumiwa kwa matendo yasiyo ya kiuongozi. Je, kwa alichowafanyia viongozi wa Simba atabakishwa ofisini?

Wao wanajinasibu ni sehemu ya tawi la chama tawala.
 
1. Kuwa mlezi wa Pamba amefanya kosa lipi?
2. Kuwa mwanachama wa Yanga ni kosa?
3. Hizo hasira binafsi unaweza kuzithibitisha kama ulivyo tuhumu?
Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa, yeye kuwa shabiki wa timu sio shida ila shida inakuja pale unapotumia cheo chako kunyanyasa watu wa timu nyingine na kuhatarisha amani ya sehemu husika.
 
1. Kuwa mlezi wa Pamba amefanya kosa lipi?
2. Kuwa mwanachama wa Yanga ni kosa?
3. Hizo hasira binafsi unaweza kuzithibitisha kama ulivyo tuhumu?
Unaelewa maana mgongano wa maslahi kweli? Tena kwa kukosa weledi

Kwanini apigiwe simu RC na sio DC wa wilaya husika?

Kwanini asipigiwe simu OCS wa kituo cha karibu zaidi na uwanja wa CCM kirumba kama kulikua na viashiria uvunjifu wa amani.
 
WEwe ni mpumbavu na nusu. Yaan mtu aingie na silaha uwanja wa mazoezi awazuie viongozi wa timu afu unaongea usenge hapa. Manyoko
 
Wewe mwenyewe paragraph ya tatu imekuonyesha una conflict of interest. Yaani wewe ni Simba. Kwa hiyo huna mamlaka ya kimaadili.🙏🙏🙏
 
Kuna nafasi 2 tu ambazo mtu akipewa hata kama alikuwa na akili,akili hizo zitamtoroka mhusika na kumuacha na kichwa kitupu,nafasi hizo ni u-RC na u-DC
Hakuna kiongozi Mpuuzi kama huyu! Rc na DC ni vyeo vya kikoloni TU! Ccm wanavikumbatia Kwa maslahi ya kisiasa!
 
Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa, yeye kuwa shabiki wa timu sio shida ila shida inakuja pale unapotumia cheo chako kunyanyasa watu wa timu nyingine na kuhatarisha amani ya sehemu husika.
Nilichouliza ni uthibitisho wa huyo mleta mada maana yuko subjective.
Kama ni hayo usemayo na yana ushahidi usiotia shaka ana makosa, lakini siyo petty issues za kuwa mlezi mara ni mwanachama/mshabiki wa timu fulani au ana chuki binafsi.
Who allege must prove
 
WEwe ni mpumbavu na nusu. Yaan mtu aingie na silaha uwanja wa mazoezi awazuie viongozi wa timu afu unaongea usenge hapa. Manyoko
Fuatilieni mambo ya msingi, siyo kufuatilia ulozi na mpira
 
Hawezi kuwajibishwa ana mizizi mirefu.sana. litapita kama la.dr.Nawanda
 
Cheo Cha kuhongwa kama dem
 
Huyu jamaa mkuu wa mkoa wa mwanza ana Elimu gani? Maana ukimsikiliza au kumwangalia tu unaona kama vile ndo hivyo tena. Shida ni nini?

Huyu ndo kipindi kile alihusishwa na kutaka izima kesi ya yule binti ambaye alinajisiwa na mkuu wa Wilaya? Aiseee... Yaani kuna nguvu tu wakati mwingine zinawaweka hawa watu maeneo waliyopo.

Mtu mwenye akili au uelewa hata ukimwona tu unaweza mhisi kwa asilimia hata 80 .na kinyume chake pia is true. Huyu jamaa ukimwangalia tu unaona kichwani hamna kitu.
 
Yan mada h n kutokana na simba? Mashabiki wa simba na Yanga mna usengerema sana sana aisee, mmeshakubali kuwa wapumbavu kisa hizo timu.
 
Siyo lazima kila binadamu aishi kadiri binadamu wengine watakavyo ,,yawezekana hata wewe kuna watu wanajiuliza maswali kama hayo juu yako ila hujajua tu ,,Ishi kadiri uwezavyo na siyo kwa kumfurahisha kila mwanadamu utakuwa mtumwa
 
Mkuu,
Ungetupia video yake tumsikie basi
 
Ila hili suala limeonesha ujinga mkubwa sana wa mashabiki wa Simba wakiongozwa na kisugu na pasi milioni
Ujinga ni mwingi sana hadi aibu kwa nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…