RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

Upo sahihi lakini hebu jaribu kugeuza upande wa pili. What if unhekuwa ni wewe umefanya hivyo au ndugu yako halafu kiongozi anajaribu kuku fightia kama hivyo, ungeandika huu uzi? Au undelete uzi wa kumsifia? Au kwa sababu tatizo halijakukuta wewe? Kela sio pazuri ndugu yangu kumbuka
Mawazo yako ni ya kiwaki sana.
Ufike wakati tuuchukie ubaya hata ukitendwa na baba yako
 
Yaani bora kama alikua hawezi kusaidia angekaa zake atulie tu, ila kama ni kweli yaliyosemwa yako hivyo basi amejivunjia heshima na uaminifu kwa raia.

Sema hii kesi binti anatakiwa apate wakili ambae yuko vizuri sana bila hivyo wote wawili watahukumiwa, maana wanasema aliye ruhusu kuingiliwa na aliyemuingilia mwenzie wote wanakua na makosa, na mbaya zaidi hao walikua wapenzi.
Binti ameeleza alivyoingia ndani ya gari jamaa aka-lock milango na kuanza kumlawiti pamoja na juhudi zote za kujinasua ilishindikana.
 
Mabinti mkipata nafasi ya kusoma someni acheni tamaa na ujinga.
Narudia tena kuwa nitakuwa wa mwisho kukubali kuwa anachokisema huyu Binti mdogo sana ndivyo kilivyo.....yalishawahi kujitokeza ya aina hii.
Kama wanaodaiwa ni makahaba na Hassan Bomboko wameweza kufikishwa mahakamani kwa haraka sana bila hata kuwa na wateja wao kipi kinashindikana kumfikisha Nawanda mahakamani wakati Tumsiime anayelalamika kulawitiwa yuko tayari kutoa ushahidi wake mahakamani na hadi kuna ushahidi wa miamala ya simu, benki na ushahidi wa meseji na sauti za simu??
 
Kula jicho sio jambo jepesi kama mwanamke akikukazia huwezi kuingiza hata kichwa tu katika "Mnduku" wake! Vp huyo binti alitulia tu kuanzia kupakwa vilainishi "Parachute,KLY gel,Durex n.k" mpaka kichwa kinaingia na mkia wake na jamaa anapiga tako zake mpaka anamwagia!

Alishindwa kweli kupiga kelele za kuomba msaada?

Angesema kuwa amewekewa drugs kwenye kinywaji,amepigwa na kufungwa mikono na mdomo au kashikiwa bunduki ndio atoe jicho hapo angeeleweka vizuri. Kinyume na hapo kuna mashaka mengi aisee
Umewahi kula, kuliwa, kujaribu kula au kuliwa jicho ukaupata huo uzoefu ??
Sasa hapa si ndio hii kesi ingepelekwa mahakamani ili wataalamu mbalimbali waliojaribu kula au kuliwa jicho waileze mahakama ugumu wake ili kumnasua Nawanda
 
Viongozi wetu wamepewa vyeo kama chaka la kufichia upuuzi wao,haiingii akilini kiongozi mkubwa wa cheo cha mkuu wa mkoa kufira mtoto,bado hapo hapo kiongozi wa cheo kile kile kutetea mambo ya ufiraji kwa misingi ya ukabira
Hao ma-RCs wangekuwa kabila lile JF ingechafuka vibaya sana!
 
Hizi nafasi za kuteuana kwa upendeleo zinatuletea watu wajinga sn, tunataka watu waombe hizi nafasi waeleze wanaenda kuwafanyia nini watanzania na siyo kwenda kukusanya rushwa na kumsifia aliyewateua
 
Hapa nasikiliza video ya Binti Tumsiime anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Nawanda. Binti ameelezea kwa kina sakata zima la kulawitiwa, mpaka msukumo mzima wa kutaka kuzima kesi.

Binti Tumsiime ameelezea kuwa baada ya kufanyiwa kitendo kile, aliripoti kituo cha polisi kwa hatua za kisheria zaidi. Wakati akiwa na Polisi wakifanya uchunguzi na kukusanya ushahidi, ghafla alitafutwa na RC Mtanda ambaye alitaka waonane ofisini kwake, binti anadai alikataa na kusema yupo na polisi lakini RC Mtanda alitumia mamlaka yake na hatimaye kuonana na binti huyo.

Binti anadai baada ya kufika Ofisini kwa Mtanda, RC huyo alimsihi suala hilo aliondoe polisi ili limalizwe kifamilia ila binti aliamua kukaza. Anadai kuwa akiwa ofisini RC Mtanda aliongea kilugha na Dkt. Nawanda (nadhani kimakonde).

RC Mtanda aliwaita Polisi waliokuja na binti huyo na kuwaambia ameshaongea na Binti na kesho wampokee vizuri anakuja kufuta kesi. Binti hakufanya hivyo kama alivyotakiwa kufanya na RC Mtanda.

Kwa mujibu wa binti huyo, RC Mtanda aliendelea kuinjinia mpango mzima wa kuzima sakata ikiwa ni pamoja na kushiriki kumwandikisha barua feki ya kufuta kesi, kumshawishi mama mzazi wa binti nk nk.

Hoja yangu hapa; RC Mtanda kama kiongozi wa umma alipaswa kuwa mstari wa mbele kuheshimu na kusimamia sheria, badala yake anatumia mamlaka ambayo tumempatia kutaka kudhulumu haki ya Tumsiime.

Rais Samia, Watanzania hatutakuelewa endapo RC Mtanda ataendelea kuwa Mkuu wa mkoa, amekosa sifa za kuwa mfano wa kuigwa.

Pia soma
Huyo binti ni malaya tu.

RC alikuwa na nia njema ya kutaka wayamalize kimya kimya, alikuwa kishafahamu wana mahusiano.
 
Yaani bora kama alikua hawezi kusaidia angekaa zake atulie tu, ila kama ni kweli yaliyosemwa yako hivyo basi amejivunjia heshima na uaminifu kwa raia.

Sema hii kesi binti anatakiwa apate wakili ambae yuko vizuri sana bila hivyo wote wawili watahukumiwa, maana wanasema aliye ruhusu kuingiliwa na aliyemuingilia mwenzie wote wanakua na makosa, na mbaya zaidi hao walikua wapenzi.
Binti mpaka anashtaki inaashiria aliingiliwa kwa nguvu, angeridhia asingekuwa na haja ya kushtaki. Kuwa wapenzi siyo shida, shida ni kuingiliwa kinyume.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na Hii Kesi wanaume tuwe makini sana.. mabinti wengi waliolawitiwa wanaweza kukulengesha uwalawiti hata kwa kutelezeshea na kisha kukutaka Uwape hela Nyingi Sana kinyume na makubaliano na kisha wanakupeleka mahakamani.

Huyo binti alipata Michubuko inayoashiria Ubakwaji? Maana kwa tukio la kwenye gari lingeweza kumsababishia marinda kutatuka na damu kumwagika.
Mwenyewe anadai ripoti ya daktari inaeleza kila kitu ndiyo maana tunataka kesi hii ipelekwe haraka mahakamani, kama Nawanda kamlawiti huyo binti basi achukue mvua zake za kutosha, na kama binti anatumika kumchafua jamaa basi sheria ifuate mkondo wake.
 
Mimi nauliza tu...yaani hiyo binti alienda kufanya nini hotelini pamoja na huyo RC?

Kwahiyo kama "angembwato" tu asingekuja kuutangazia umati kuwa katoa mbususu kwa RC kwa ridhaa yake ?

Kula jicho sio jambo jepesi kama mwanamke akikukazia huwezi kuingiza hata kichwa tu katika "Mnduku" wake! Vp huyo binti alitulia tu kuanzia kupakwa vilainishi "Parachute,KLY gel,Durex n.k" mpaka kichwa kinaingia na mkia wake na jamaa anapiga tako zake mpaka anamwagia!

Alishindwa kweli kupiga kelele za kuomba msaada?

Angesema kuwa amewekewa drugs kwenye kinywaji,amepigwa na kufungwa mikono na mdomo au kashikiwa bunduki ndio atoe jicho hapo angeeleweka vizuri. Kinyume na hapo kuna mashaka mengi aisee
Alipiga kelele ila hakupata msaada! Hoja hapa ni kwamba ulawiti ulitokea na binti amelalamika kufanyiwa hiko kitendo ambacho pia vipimo vinaonesha kufanywa na Dr. Nawanda. Ni jukumu la Nawanda kuthibitisha ilikuwa kwa hiari japo haitamsaidia chochote.

Tukio lile kwa mujibu wa CCTV lilifanyika ndani ya gari tena parking; Nawanda aithibitishie mahakama kama yale ni mazingira ya kawaida ya kufanyia mapenzi na sio mazingira ya ubakaji! Hii kesi sio nyepesi unavyofikiria ikiingia anga za Adv. Kibatala or similar ones.
 
Alipiga kelele ila hakupata msaada! Hoja hapa ni kwamba ulawiti ulitokea na binti amelalamika kufanyiwa hiko kitendo ambacho pia vipimo vinaonesha kufanywa na Dr. Nawanda. Ni jukumu la Nawanda kuthibitisha ilikuwa kwa hiari japo haitamsaidia chochote.

Tukio lile kwa mujibu wa CCTV lilifanyika ndani ya gari tena parking; Nawanda aithibitishie mahakama kama yale ni mazingira ya kawaida ya kufanyia mapenzi na sio mazingira ya ubakaji! Hii kesi sio nyepesi unavyofikiria ikiingia anga za Adv. Kibatala or similar ones.
Sahihi kabisa.
 
Huyo binti ni malaya tu.

RC alikuwa na nia njema ya kutaka wayamalize kimya kimya, alikuwa kishafahamu wana mahusiano.
Hata kama ni malaya kama Nawanda kweli amemlawiti haimtoi kwenye hatia ya ulawiti . Na pia hii haimtoi Mtanda kwenye kosa la kutaka kuzuia utaratibu wa Polisi kufanya kazi yao, kumbuka hili ni kosa la jinai siyo kesi ya madai.
 
Mjinga Mmoja wewe.


Watu aina ya RC MTANDA wanahitajika zaidi hapa Nchini.



Kwenda huko na kamalaya Kako, haki Katoto ni kamalaya kanajiuza
Kumbe kuna baadhi ya wateule wa Rais nao wananua malaya wanaojiuza kama Yahaya Nawanda!? Sasa zile operation za kuwakamata ma dada poa na kuwapeleka mahakamani huwa ni za nini!?
 
Back
Top Bottom