Mawazo yako ni ya kiwaki sana.Upo sahihi lakini hebu jaribu kugeuza upande wa pili. What if unhekuwa ni wewe umefanya hivyo au ndugu yako halafu kiongozi anajaribu kuku fightia kama hivyo, ungeandika huu uzi? Au undelete uzi wa kumsifia? Au kwa sababu tatizo halijakukuta wewe? Kela sio pazuri ndugu yangu kumbuka
Binti ameeleza alivyoingia ndani ya gari jamaa aka-lock milango na kuanza kumlawiti pamoja na juhudi zote za kujinasua ilishindikana.Yaani bora kama alikua hawezi kusaidia angekaa zake atulie tu, ila kama ni kweli yaliyosemwa yako hivyo basi amejivunjia heshima na uaminifu kwa raia.
Sema hii kesi binti anatakiwa apate wakili ambae yuko vizuri sana bila hivyo wote wawili watahukumiwa, maana wanasema aliye ruhusu kuingiliwa na aliyemuingilia mwenzie wote wanakua na makosa, na mbaya zaidi hao walikua wapenzi.
Kama wanaodaiwa ni makahaba na Hassan Bomboko wameweza kufikishwa mahakamani kwa haraka sana bila hata kuwa na wateja wao kipi kinashindikana kumfikisha Nawanda mahakamani wakati Tumsiime anayelalamika kulawitiwa yuko tayari kutoa ushahidi wake mahakamani na hadi kuna ushahidi wa miamala ya simu, benki na ushahidi wa meseji na sauti za simu??Mabinti mkipata nafasi ya kusoma someni acheni tamaa na ujinga.
Narudia tena kuwa nitakuwa wa mwisho kukubali kuwa anachokisema huyu Binti mdogo sana ndivyo kilivyo.....yalishawahi kujitokeza ya aina hii.
Kuwa wapenzi siyo utetezi wa kumuingilia mtu kinyume na maumbile. Hata kama angekuwa mke wake hairuhusiwi kisheria. Pia, kwa mjibu wa maelezo ya binti, Rc alimuingilia kinguvu (alibaka).Sema hii issue iko complicated ukizingatia anadai “walikuwa wapenzi” kwa miezi sita.
Umewahi kula, kuliwa, kujaribu kula au kuliwa jicho ukaupata huo uzoefu ??Kula jicho sio jambo jepesi kama mwanamke akikukazia huwezi kuingiza hata kichwa tu katika "Mnduku" wake! Vp huyo binti alitulia tu kuanzia kupakwa vilainishi "Parachute,KLY gel,Durex n.k" mpaka kichwa kinaingia na mkia wake na jamaa anapiga tako zake mpaka anamwagia!
Alishindwa kweli kupiga kelele za kuomba msaada?
Angesema kuwa amewekewa drugs kwenye kinywaji,amepigwa na kufungwa mikono na mdomo au kashikiwa bunduki ndio atoe jicho hapo angeeleweka vizuri. Kinyume na hapo kuna mashaka mengi aisee
Nani?Huyu naye akae kwa kutulia
Hao ma-RCs wangekuwa kabila lile JF ingechafuka vibaya sana!Viongozi wetu wamepewa vyeo kama chaka la kufichia upuuzi wao,haiingii akilini kiongozi mkubwa wa cheo cha mkuu wa mkoa kufira mtoto,bado hapo hapo kiongozi wa cheo kile kile kutetea mambo ya ufiraji kwa misingi ya ukabira
Samaki huoza kuanzia kichwani.Hivi ulawiti si ndiyo tabia za kishoga hizo? Mbona hawa wateule wa rais Samia wanaonekana ndiyo wenye kufanya na kutetea vitendo hivyo?
Hii nchi ina unafiki mwingi sana. Rais achukue hatua kwa viongozi wa namna hii
Huyo binti ni malaya tu.Hapa nasikiliza video ya Binti Tumsiime anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Nawanda. Binti ameelezea kwa kina sakata zima la kulawitiwa, mpaka msukumo mzima wa kutaka kuzima kesi.
Binti Tumsiime ameelezea kuwa baada ya kufanyiwa kitendo kile, aliripoti kituo cha polisi kwa hatua za kisheria zaidi. Wakati akiwa na Polisi wakifanya uchunguzi na kukusanya ushahidi, ghafla alitafutwa na RC Mtanda ambaye alitaka waonane ofisini kwake, binti anadai alikataa na kusema yupo na polisi lakini RC Mtanda alitumia mamlaka yake na hatimaye kuonana na binti huyo.
Binti anadai baada ya kufika Ofisini kwa Mtanda, RC huyo alimsihi suala hilo aliondoe polisi ili limalizwe kifamilia ila binti aliamua kukaza. Anadai kuwa akiwa ofisini RC Mtanda aliongea kilugha na Dkt. Nawanda (nadhani kimakonde).
RC Mtanda aliwaita Polisi waliokuja na binti huyo na kuwaambia ameshaongea na Binti na kesho wampokee vizuri anakuja kufuta kesi. Binti hakufanya hivyo kama alivyotakiwa kufanya na RC Mtanda.
Kwa mujibu wa binti huyo, RC Mtanda aliendelea kuinjinia mpango mzima wa kuzima sakata ikiwa ni pamoja na kushiriki kumwandikisha barua feki ya kufuta kesi, kumshawishi mama mzazi wa binti nk nk.
Hoja yangu hapa; RC Mtanda kama kiongozi wa umma alipaswa kuwa mstari wa mbele kuheshimu na kusimamia sheria, badala yake anatumia mamlaka ambayo tumempatia kutaka kudhulumu haki ya Tumsiime.
Rais Samia, Watanzania hatutakuelewa endapo RC Mtanda ataendelea kuwa Mkuu wa mkoa, amekosa sifa za kuwa mfano wa kuigwa.
Pia soma
Binti mpaka anashtaki inaashiria aliingiliwa kwa nguvu, angeridhia asingekuwa na haja ya kushtaki. Kuwa wapenzi siyo shida, shida ni kuingiliwa kinyume.Yaani bora kama alikua hawezi kusaidia angekaa zake atulie tu, ila kama ni kweli yaliyosemwa yako hivyo basi amejivunjia heshima na uaminifu kwa raia.
Sema hii kesi binti anatakiwa apate wakili ambae yuko vizuri sana bila hivyo wote wawili watahukumiwa, maana wanasema aliye ruhusu kuingiliwa na aliyemuingilia mwenzie wote wanakua na makosa, na mbaya zaidi hao walikua wapenzi.
Mwenyewe anadai ripoti ya daktari inaeleza kila kitu ndiyo maana tunataka kesi hii ipelekwe haraka mahakamani, kama Nawanda kamlawiti huyo binti basi achukue mvua zake za kutosha, na kama binti anatumika kumchafua jamaa basi sheria ifuate mkondo wake.Kutokana na Hii Kesi wanaume tuwe makini sana.. mabinti wengi waliolawitiwa wanaweza kukulengesha uwalawiti hata kwa kutelezeshea na kisha kukutaka Uwape hela Nyingi Sana kinyume na makubaliano na kisha wanakupeleka mahakamani.
Huyo binti alipata Michubuko inayoashiria Ubakwaji? Maana kwa tukio la kwenye gari lingeweza kumsababishia marinda kutatuka na damu kumwagika.
Hata kama angekuwa malaya, ulawiti ni kosa la jinai. Hii tabia ya kumaliza ulawiti kimya kimya haifai kabisa, ulawiti ni kosa la jinai.Huyo binti ni malaya tu.
RC alikuwa na nia njema ya kutaka wayamalize kimya kimya,
Alipiga kelele ila hakupata msaada! Hoja hapa ni kwamba ulawiti ulitokea na binti amelalamika kufanyiwa hiko kitendo ambacho pia vipimo vinaonesha kufanywa na Dr. Nawanda. Ni jukumu la Nawanda kuthibitisha ilikuwa kwa hiari japo haitamsaidia chochote.Mimi nauliza tu...yaani hiyo binti alienda kufanya nini hotelini pamoja na huyo RC?
Kwahiyo kama "angembwato" tu asingekuja kuutangazia umati kuwa katoa mbususu kwa RC kwa ridhaa yake ?
Kula jicho sio jambo jepesi kama mwanamke akikukazia huwezi kuingiza hata kichwa tu katika "Mnduku" wake! Vp huyo binti alitulia tu kuanzia kupakwa vilainishi "Parachute,KLY gel,Durex n.k" mpaka kichwa kinaingia na mkia wake na jamaa anapiga tako zake mpaka anamwagia!
Alishindwa kweli kupiga kelele za kuomba msaada?
Angesema kuwa amewekewa drugs kwenye kinywaji,amepigwa na kufungwa mikono na mdomo au kashikiwa bunduki ndio atoe jicho hapo angeeleweka vizuri. Kinyume na hapo kuna mashaka mengi aisee
Sahihi kabisa.Alipiga kelele ila hakupata msaada! Hoja hapa ni kwamba ulawiti ulitokea na binti amelalamika kufanyiwa hiko kitendo ambacho pia vipimo vinaonesha kufanywa na Dr. Nawanda. Ni jukumu la Nawanda kuthibitisha ilikuwa kwa hiari japo haitamsaidia chochote.
Tukio lile kwa mujibu wa CCTV lilifanyika ndani ya gari tena parking; Nawanda aithibitishie mahakama kama yale ni mazingira ya kawaida ya kufanyia mapenzi na sio mazingira ya ubakaji! Hii kesi sio nyepesi unavyofikiria ikiingia anga za Adv. Kibatala or similar ones.
Hata kama ni malaya kama Nawanda kweli amemlawiti haimtoi kwenye hatia ya ulawiti . Na pia hii haimtoi Mtanda kwenye kosa la kutaka kuzuia utaratibu wa Polisi kufanya kazi yao, kumbuka hili ni kosa la jinai siyo kesi ya madai.Huyo binti ni malaya tu.
RC alikuwa na nia njema ya kutaka wayamalize kimya kimya, alikuwa kishafahamu wana mahusiano.
Una uhakika gani kasema kweli?Hata kama angekuwa malaya, ulawiti ni kosa la jinai. Hii tabia ya kumaliza ulawiti kimya kimya haifai kabisa, ulawiti ni kosa la jinai.
Wewe ukilawitiwa na RC uko tayari myamalize Kimya kimya? Why kimya kimya?Huyo binti ni malaya tu.
RC alikuwa na nia njema ya kutaka wayamalize kimya kimya, alikuwa kishafahamu wana mahusiano.
Kumbe kuna baadhi ya wateule wa Rais nao wananua malaya wanaojiuza kama Yahaya Nawanda!? Sasa zile operation za kuwakamata ma dada poa na kuwapeleka mahakamani huwa ni za nini!?Mjinga Mmoja wewe.
Watu aina ya RC MTANDA wanahitajika zaidi hapa Nchini.
Kwenda huko na kamalaya Kako, haki Katoto ni kamalaya kanajiuza