RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

Hata kama ni malaya kama Nawanda kweli amemlawiti haimtoi kwenye hatia ya ulawiti . Na pia hii haimtoi Mtanda kwenye kosa la kutaka kuzuia utaratibu wa Polisi kufanya kazi yao, kumbuka hili ni kosa la jinai siyo kesi ya madai.
Mimi naamini kuwa hajalawitiwa, hivi alilawitiwa kwa kufanywa kwa nguvu?

Mtu atakulawiti vipi kama kweli mwenyewe hutaki?

Huyo binti ni mwongo.
 
Wewe ukilawitiwa na RC uko tayari myamalize Kimya kimya? Why kimya kimya?
Wewe ulisikia kabakwa?

Huyo binti ni muongo, atalawitiwa bila kupenda bila kubakwa?

Wewe ushalawitiwa bila kupenda?
 
Hivi ulawiti si ndiyo tabia za kishoga hizo? Mbona hawa wateule wa rais Samia wanaonekana ndiyo wenye kufanya na kutetea vitendo hivyo?

Hii nchi ina unafiki mwingi sana. Rais achukue hatua kwa viongozi wa namna hii
Kule ccm, misikitini na makanisani viwango vya ushoga vipo juu sana!
 
Sawa mkuu nimekupata. Hata sikuwa nimetizama hiyo video clip.
 
Lakini si haya ni maelezo ya upande mmoja tu au umesikia ya pande zote? Kwa upande wangu, ukweli wa jambo hili unahitaji kusikia pande zote mbili, then kutoka hapo ndipo tunapoweza kujua upande upi unasema ukweli.
 
Mimi naamini kuwa hajalawitiwa, hivi alilawitiwa kwa kufanywa kwa nguvu?

Mtu atakulawiti vipi kama kweli mwenyewe hutaki?

Huyo binti ni mwongo.
Upo sahihi kabisa. Huyo binti ni miongoni mwa wale honeypots wa uvccm.
Huoni alivyo na guts za kuelezea kilichomtokea? Na kwanini ataje taje majina ya wengine mara Mtanda mara Samia?
Ni ishara kwamba ni mzoefu na mwingi wa habari. Na wajanja wanamtumia
 
Hivi wasaidizi wa Rais wanajua anachokipigania Rais zile 4Rs zake.
 
Mimi naamini kuwa hajalawitiwa, hivi alilawitiwa kwa kufanywa kwa nguvu?

Mtu atakulawiti vipi kama kweli mwenyewe hutaki?
Kwa nini hii kesi haipelekwi mahakamani ili haya maswali yote yakajibiwe huko??
 
Kuwa wapenzi sio kibali cha kulawiti,
Hata mke wako wa ndoa wa miaka 30 ukimlawiti ni kosa la jinai kwa sheria za nchi hii.
Na pia kusema tu kwamba kalawitiwa siyo ushahidi kwamba alilawitiwa. Na ili mahakama ijiridhishe kwamba alilawitiwa, lazima kuwe na ushahidi usio na mashaka. Je, utapatikanaje, maana awali nilisikia mtuhumiwa akidaiwa kusema kwamba jambo hili limepikwa kumchafua. Je, ni upande upi unasema ukweli?
 
Huyo binti ni malaya tu.

RC alikuwa na nia njema ya kutaka wayamalize kimya kimya, alikuwa kishafahamu wana mahusiano.
Nia njema kwa suala la Kijinai. kifamilia vipi? hii ni criminal case, na ni against Human Rights hawa Ma RC Simiyu/Mwanza wamemdhalilisha Rais na taasisi ya urais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…