RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

Hata kama mke wako akikataa usimuingilie kimwili na wewe ukafanya kwa nguvu siyo kubaka?
Tanzania, hata mkeo akikataa, as long as ni mke wako, hujabaka. hiyo ni mali yako. isipokuwa kulawiti ndio kosa, na kama mke akikubali kulawitiwa wote mnashitakiwa na wote mnafungwa, ila kwa sehemu za siri za mbele, mke hata akigoma ukalazimisha sio kosa. hakuna kifungu. ile lack of consent imewekwa kwa mtu ambaye "sio mke wako". mke hakuna requirement ya consent.

nchi za ulaya na marekani zote mke akigoma ukilazimisha ni kosa la kubaka, ila nchi nyingi zenye influence ya uislam kama Tanzania, hilo sio kosa kwasababu tamatudi zake mwanamke kanyimwa haki nyingi sana.
 
Mazingira ya kesi inaonesha kuna ulawiti umefanyika na labda si mara moja na sasa binti amechoka, tukubali tu kuwa ni kweli haya mambo yametokea hata kama habari hizi hazitupendezi, ukatili umefanywa na mteuele wa Rais akisaidiwa na mteule mwenzake RC wa Mwanza anaetaka kuzima kesi kibabe kwakuwa haimuumi Tumsime si binti yake.

Hapa utajiuliza mabinti wangapi wako mapenzini na viongozi wakubwa? Nenda Dodoma ukaone, Labda tuseme mabinti 100, je mbona hatujasikia wakishtaki ulawiti? Kwanini iwe Tumsime? Hawa ma RC wawili hawafai watumbuliwe
Huyu demu na huko songea si alishashtaki mambo haya haya na mtu akaenda jela? Ina maana ni mchezo wake kula hela za watu na kublackmail si ajabu hapo dau ndio linaloshindaniwa , huyu binti aache tamaa
 
Kwa ambao hawajui ukiacha kufuata sheria za nchi tangu lini wahaya wanaachana kwenye shida mwenzao akazama ? RC mwanza katika sakata la TUMSIME inaonekana alipambana vya kutosha kumsaidia port wake wa mtwara hawa watu ni hatari Sana kuwa watumishi wa umma mtu amefanya kitendo kiovu kwa MWANAFUNZI anayejitafutia ELIMU tena binti wa miaka 21 RC unataka kesi ifutwe ? Sasa mjue hapo mnajichafua wenyewe kwani kamanda wa polisi mkoa wa mwanza ni Deputy commissioner wa JESHI la POLISI na NI kamanda aliyenyooka na hayumbishwi na nyie huyo kamanda kumbukeni huyo binti TUMSIME hata kwa kumsaidia kumbukeni anaweza kumchukulia kama mwanae kwani NI mhaya pia hata hivyo kitendo kile kilichofanyika nichakinyama na siyo cha kuvumilia mbele ya jamii! Viongozi kama RC mwanza ilipaswa atumbuliwe kwa kutaka kuharibu kesi ya msingi watu kama RC mwanza na aliyekuwa RC simiyu NI watu hatari Sana kwenye jamii ya kitanzania hawa NI watu wanaofurahi kukanyaga sheria za nchi hawafai kuwa viongozi.

Nampongeza Sana kamanda wa mkoa wa mwanza kwa kusimamia taratibu na sheria za nchi. Vitendo viovu havikubaliki kwenye jamii kiongozi lazima uwe mfano na siyo kuonekana katili wa kupindisha sheria.
Wote hakuna kitu mpaka leo kesi haijafika mahakamani kwanini?
 
DCP ni cheo Cha juu sana jeshini. Wanamzidi IGP na CP pekee. Kimpunga anakusanya parefu na Hana muda wa kujipendekeza Kwa rc coz hata akitumbuluwa urpc anahamia makao makuu anapewa pick up p, dereva na mlinzi.

Rc akiliwa kichwa anaenda kuluma pilipili.


Mtafungwa is amenyooka infact
 
Courage hiyo inaashiria binti Yuko kwenye stage ya hasira kali si unajua ukiwa kwenye hasira unaweza Fanya tukio kubwa
'Yes and No' kama ambavyo baadhi ya watu huwa wakijibu. Sitaki kudhani kwamba huyu binti hakufanyiwa hivyo anavyodai. Lakini kwa upande mwingine, najaribu ku'recall' baadhi ya matukio ya huko nyuma. Kuna mkuu fulani aliwahi kuhusishwa na kumtelekeza binti yake aliyezaa na mke mwingine (kama alivyotuhumiwa) na huyo binti akajitokeza hadharani, akidai huyo mkuu ni baba yake na amemtelekeza. Lakini baada ya muda kupita, huyo binti alijitokeza tena na kuomba radhi, kwamba alifanya hivyo kwa sababu za kisiasa, na kwamba huyo mkuu siyo baba yake. Hivyo, tuhuma zinaweza kuwa kweli au zisiwe kweli. Tusubiri ukweli wake utajulikana. Lakini pia ilishawahi kutokea mkuu mwingine alipojitokeza kugombea, kulitokea mtu hadharani akidai huyo mkuu kachukua mke wake na kwamba huyo mtu alikuwa ameshafungua kesi ya madai mahakamani, lakini huyo mkuu aliposhindwa kwenye uchaguzi, huyo mtu hakutokea tena na wala kesi yake sijawahi kuisikia tena.
 
Hapa nasikiliza video ya Binti Tumsiime anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Nawanda. Binti ameelezea kwa kina sakata zima la kulawitiwa, mpaka msukumo mzima wa kutaka kuzima kesi.

Binti Tumsiime ameelezea kuwa baada ya kufanyiwa kitendo kile, aliripoti kituo cha polisi kwa hatua za kisheria zaidi. Wakati akiwa na Polisi wakifanya uchunguzi na kukusanya ushahidi, ghafla alitafutwa na RC Mtanda ambaye alitaka waonane ofisini kwake, binti anadai alikataa na kusema yupo na polisi lakini RC Mtanda alitumia mamlaka yake na hatimaye kuonana na binti huyo.

Binti anadai baada ya kufika Ofisini kwa Mtanda, RC huyo alimsihi suala hilo aliondoe polisi ili limalizwe kifamilia ila binti aliamua kukaza. Anadai kuwa akiwa ofisini RC Mtanda aliongea kilugha na Dkt. Nawanda (nadhani kimakonde).

RC Mtanda aliwaita Polisi waliokuja na binti huyo na kuwaambia ameshaongea na Binti na kesho wampokee vizuri anakuja kufuta kesi. Binti hakufanya hivyo kama alivyotakiwa kufanya na RC Mtanda.

Kwa mujibu wa binti huyo, RC Mtanda aliendelea kuinjinia mpango mzima wa kuzima sakata ikiwa ni pamoja na kushiriki kumwandikisha barua feki ya kufuta kesi, kumshawishi mama mzazi wa binti nk nk.

Hoja yangu hapa; RC Mtanda kama kiongozi wa umma alipaswa kuwa mstari wa mbele kuheshimu na kusimamia sheria, badala yake anatumia mamlaka ambayo tumempatia kutaka kudhulumu haki ya Tumsiime.

Rais Samia, Watanzania hatutakuelewa endapo RC Mtanda ataendelea kuwa Mkuu wa mkoa, amekosa sifa za kuwa mfano wa kuigwa.

Aione mama yetu Dkt. Gwajima D

Pia soma
Hakuzima alishauri tu kama mzazi.
 
Hapa nasikiliza video ya Binti Tumsiime anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Nawanda. Binti ameelezea kwa kina sakata zima la kulawitiwa, mpaka msukumo mzima wa kutaka kuzima kesi.

Binti Tumsiime ameelezea kuwa baada ya kufanyiwa kitendo kile, aliripoti kituo cha polisi kwa hatua za kisheria zaidi. Wakati akiwa na Polisi wakifanya uchunguzi na kukusanya ushahidi, ghafla alitafutwa na RC Mtanda ambaye alitaka waonane ofisini kwake, binti anadai alikataa na kusema yupo na polisi lakini RC Mtanda alitumia mamlaka yake na hatimaye kuonana na binti huyo.

Binti anadai baada ya kufika Ofisini kwa Mtanda, RC huyo alimsihi suala hilo aliondoe polisi ili limalizwe kifamilia ila binti aliamua kukaza. Anadai kuwa akiwa ofisini RC Mtanda aliongea kilugha na Dkt. Nawanda (nadhani kimakonde).

RC Mtanda aliwaita Polisi waliokuja na binti huyo na kuwaambia ameshaongea na Binti na kesho wampokee vizuri anakuja kufuta kesi. Binti hakufanya hivyo kama alivyotakiwa kufanya na RC Mtanda.

Kwa mujibu wa binti huyo, RC Mtanda aliendelea kuinjinia mpango mzima wa kuzima sakata ikiwa ni pamoja na kushiriki kumwandikisha barua feki ya kufuta kesi, kumshawishi mama mzazi wa binti nk nk.

Hoja yangu hapa; RC Mtanda kama kiongozi wa umma alipaswa kuwa mstari wa mbele kuheshimu na kusimamia sheria, badala yake anatumia mamlaka ambayo tumempatia kutaka kudhulumu haki ya Tumsiime.

Rais Samia, Watanzania hatutakuelewa endapo RC Mtanda ataendelea kuwa Mkuu wa mkoa, amekosa sifa za kuwa mfano wa kuigwa.

Aione mama yetu Dkt. Gwajima D

Pia soma
Hii kesi ina mengi yakusema kuhusu viongozi wa kiafrika
 
Mkuu jmushi1 hakuna u-complicated wowote. Kwa wapenzi siyo certificate ya kutofamfanyia ubaya. Binti kaelezea vizuri na kakubali walikuwa wapenzi. Kasema lengo la jamaa tangu wakutane ni kumwingilia nyuma lakini binti akakataa. Akasema alimwita ili aombe msamaha na kama ni mapenzi wafanye kwa njia ya kawaida. Kufika pale akatumia nguvu na vitisho kumlawiti. Kwa nini kesi isipelekwe mahakamani ili sheria ipime maelezo yao? Kwa nini RC wa Mwanza aingilie kutaka kesi isiende mahakamani? Kwa nini huyo RC alimpa sh milioni kumi kama hana anachoogopa? Kuna watu wanadai ni ksei ya kisiasa, je hao wanasiasa wasiompenda huyo RC ndiyo walimtuma afanye yote hayo? Ukweli ni kwamba inawezekana kabisa ni kweli na huu ndiyo mchezo wa wengi ya hawa wahuni wa CCM.
Mkuu ninachokupenda Kila jambo utakalolieleza lazima conclusion yake uihusianishe na ubaya WA CCM... Kwa ninavyoichukia ccm najikuta napenda uandishi wako..
 
Ukichunguza saaana utaambiwa mmoja wao hapo ni mtumishi wa ile idara yao ya ikulu. Sijui wanaajiri watu wa aina gani lakini 'intelligence' na uadilifu sio priority.
 
Kwa ambao hawajui ukiacha kufuata sheria za nchi tangu lini wahaya wanaachana kwenye shida mwenzao akazama ? RC mwanza katika sakata la TUMSIME inaonekana alipambana vya kutosha kumsaidia port wake wa mtwara hawa watu ni hatari Sana kuwa watumishi wa umma mtu amefanya kitendo kiovu kwa MWANAFUNZI anayejitafutia ELIMU tena binti wa miaka 21 RC unataka kesi ifutwe ? Sasa mjue hapo mnajichafua wenyewe kwani kamanda wa polisi mkoa wa mwanza ni Deputy commissioner wa JESHI la POLISI na NI kamanda aliyenyooka na hayumbishwi na nyie huyo kamanda kumbukeni huyo binti TUMSIME hata kwa kumsaidia kumbukeni anaweza kumchukulia kama mwanae kwani NI mhaya pia hata hivyo kitendo kile kilichofanyika nichakinyama na siyo cha kuvumilia mbele ya jamii! Viongozi kama RC mwanza ilipaswa atumbuliwe kwa kutaka kuharibu kesi ya msingi watu kama RC mwanza na aliyekuwa RC simiyu NI watu hatari Sana kwenye jamii ya kitanzania hawa NI watu wanaofurahi kukanyaga sheria za nchi hawafai kuwa viongozi.

Nampongeza Sana kamanda wa mkoa wa mwanza kwa kusimamia taratibu na sheria za nchi. Vitendo viovu havikubaliki kwenye jamii kiongozi lazima uwe mfano na siyo kuonekana katili wa kupindisha sheria.
Ma rc wa hovyo
 
Binti sioni tena kama ataendelea na masomo..ila kwenye maisha mlinzi wa kwanza wa usalama wa maisha ya mtu ni mtu Mwenye kabla ya polisi hiyo bar ya the cask ni eneo la udangaji na guest Huwa ni magari hayo hayo...miezi sita ni mingi sana sidhani kama rc hajawahi kumlazimisha huyu bint kufanya huo uchafu Binti alitakiwa kumuepuka jamaa mapema mno sema tu umasikini wetu nao Binti ukute alikuwa na njaa hiyo siku akajua hata atarudi na chips kuku take away..na binti inaonyesha alikuwa anamlilia sana njaa rc na kumuelezea njaa za kwao hd dada mtu kukosa kazi kitu ambacho Huwa kinaleta dharau hata kwenye ndoa mtu akijia maskini automatically anakudharau so rc alijua binti hatofanya chochote au pengine angezoea hako kamchezo
 
Binti ufirimbwe afu uende kujionesha kwenye media kwamba mimi ndo nilie firimbwa tena comfortably
 
Binti sioni tena kama ataendelea na masomo..ila kwenye maisha mlinzi wa kwanza wa usalama wa maisha ya mtu ni mtu Mwenye kabla ya polisi hiyo bar ya the cask ni eneo la udangaji na guest Huwa ni magari hayo hayo...miezi sita ni mingi sana sidhani kama rc hajawahi kumlazimisha huyu bint kufanya huo uchafu Binti alitakiwa kumuepuka jamaa mapema mno sema tu umasikini wetu nao Binti ukute alikuwa na njaa hiyo siku akajua hata atarudi na chips kuku take away..na binti inaonyesha alikuwa anamlilia sana njaa rc na kumuelezea njaa za kwao hd dada mtu kukosa kazi kitu ambacho Huwa kinaleta dharau hata kwenye ndoa mtu akijia maskini automatically anakudharau so rc alijua binti hatofanya chochote au pengine angezoea hako kamchezo
binti kaahirisha mwaka, ataendelea mwakani. watu wanasema sijui anajiharibia maisha, hujawahi kuona watu wanaoa malaya wakujiuza kabisa?
 
Shida na usalama wake pia si unajua tena hawa wana siasa na ushetani wao
polisi wanamlinda, Mungu kwanza ndio anamlinda, pia, hata akipata shida ameshajulikana muuaji atakuwa nani. na hata akipata madhara sio kwamba kesi itaisha, maelezo yake ya ushahidi yanatosha hata asipokuja mahakamani, vitatosha kiushahidi. wanasheria tunajua hili. hivyo RC asihangaike akifikiri akimpoteza kesi imeisha never, ipo pale pale na laana itazidi juu yake zaidi.
 
polisi wanamlinda, Mungu kwanza ndio anamlinda, pia, hata akipata shida ameshajulikana muuaji atakuwa nani. na hata akipata madhara sio kwamba kesi itaisha, maelezo yake ya ushahidi yanatosha hata asipokuja mahakamani, vitatosha kiushahidi. wanasheria tunajua hili. hivyo RC asihangaike akifikiri akimpoteza kesi imeisha never, ipo pale pale na laana itazidi juu yake zaidi.
Ila Binti angejua angeachana nae mapema sana maana mwanaume anaependa tigo ni htr Kwa afya hata asipofanya na ww Kuna wengine atafanya nao si UTI sugu balaa
 
Back
Top Bottom