RC Sendiga avaa sare za shule akiwakaribisha wanafunzi kwenye shule mpya

RC Sendiga avaa sare za shule akiwakaribisha wanafunzi kwenye shule mpya

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274
Mkuu wa Mkoa wa Manyara (RC), Queen Sendiga amewakaribisha rasmi wanafunzi 110 wanaoanza kidato cha tano katika Shule mpya ya Sekondari ya Wasichana Manyara iliyopo mjini Babati.
Katika ukaribisho huo DC Sendiga amevaa sare za shule kama wavaavyo wanafunzi hao kwa lengo la kuwapa morali ya kusoma.

Sendiga amewakaribisha rasmi wanafunzi hao 110 mjini Babati leo Jumatano Agosti 14, 2024 waliokwishawasili shuleni hapo na kuanza masomo yao ya kidato cha tano kwa mchepuo wa Sayansi (PCM) na (PCB).

Amewaasa wasome kwa bidii na kutanguliza nidhamu kwa walimu ili waweze kutimiza ndoto zao na malengo yao ya baadaye.

Amewashukuru na kuwapongeza wazazi walioleta watoto wao katika shule hiyo mpya na kuwahakikishia kuwa watapata elimu na huduma bora, ulinzi na usalama wakati wote watakapokuwepo shuleni hapo.

Snapinsta.app_455023725_1594973024698926_8244311887954680840_n_1080.jpg

 

Mkuu wa Mkoa wa Manyara (RC), Queen Sendiga amewakaribisha rasmi wanafunzi 110 wanaoanza kidato cha tano katika Shule mpya ya Sekondari ya Wasichana Manyara iliyopo mjini Babati.

Katika ukaribisho huo DC Sendiga amevaa sare za shule kama wavaavyo wanafunzi hao kwa lengo la kuwapa morali ya kusoma.

Sendiga amewakaribisha rasmi wanafunzi hao 110 mjini Babati leo Jumatano Agosti 14, 2024 waliokwishawasili shuleni hapo na kuanza masomo yao ya kidato cha tano kwa mchepuo wa Sayansi (PCM) na (PCB).

Amewaasa wasome kwa bidii na kutanguliza nidhamu kwa walimu ili waweze kutimiza ndoto zao na malengo yao ya baadaye.

Amewashukuru na kuwapongeza wazazi walioleta watoto wao katika shule hiyo mpya na kuwahakikishia kuwa watapata elimu na huduma bora, ulinzi na usalama wakati wote watakapokuwepo shuleni hapo.

View attachment 3069757

Huo ni ubunifu,Tumpe maua yake🌿🌿🌿🌾🌾🌾🌱🌱
 

Mkuu wa Mkoa wa Manyara (RC), Queen Sendiga amewakaribisha rasmi wanafunzi 110 wanaoanza kidato cha tano katika Shule mpya ya Sekondari ya Wasichana Manyara iliyopo mjini Babati.

Katika ukaribisho huo DC Sendiga amevaa sare za shule kama wavaavyo wanafunzi hao kwa lengo la kuwapa morali ya kusoma.

Sendiga amewakaribisha rasmi wanafunzi hao 110 mjini Babati leo Jumatano Agosti 14, 2024 waliokwishawasili shuleni hapo na kuanza masomo yao ya kidato cha tano kwa mchepuo wa Sayansi (PCM) na (PCB).

Amewaasa wasome kwa bidii na kutanguliza nidhamu kwa walimu ili waweze kutimiza ndoto zao na malengo yao ya baadaye.

Amewashukuru na kuwapongeza wazazi walioleta watoto wao katika shule hiyo mpya na kuwahakikishia kuwa watapata elimu na huduma bora, ulinzi na usalama wakati wote watakapokuwepo shuleni hapo.

View attachment 3069757

Huyu dada anajitahidi sana
 
Back
Top Bottom