#COVID19 RC Sengati: Kiongozi wa CHADEMA aliyesema Shinyanga imeelemewa na wagonjwa wa corona achukuliwe hatua kali za kisheria

#COVID19 RC Sengati: Kiongozi wa CHADEMA aliyesema Shinyanga imeelemewa na wagonjwa wa corona achukuliwe hatua kali za kisheria

Endeleeni kuficha, si mmesema hakuna Corona Shinyanga ? Sasa RC uliyeweka picha yake na maelezo "akitembelea wagonjwa wa Corona ni wa mkoa gani?
Itafika muda ukweli utajitenga na uongo
 
RC hakatai kuwa wagonjwa siyo wengi kama alivyosema Nkuna, ila anakataa kuwa siyo wengi kuzidi upatikanaji wa mitungi ya oxygen! Yani wagonjwa wanaweza kuwa 50 ila mitungi ipo 51.

Vyeo vya RC na DC huwa sielewi umuhimu wake.
 
RC hakatai kuwa wagonjwa siyo wengi kama alivyosema Nkuna, ila anakataa kuwa siyo wengi kuzidi upatikanaji wa mitungi ya oxygen! Yani wagonjwa wanaweza kuwa 50 ila mitungi ipo 51.

Vyeo vya RC na DC huwa sielewi umuhimu wake.
Huyu Bavicha, anaakiri maana alipotamka tu ofisi ya mkoa ikatoka ofisini na kwenda field.
 
Back
Top Bottom