upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, amewataka Wataalam wanaoshughulika na usimamizi wa miradi ya maendeleo hususan miundombinu ya barabara, kuhakikisha inakidhi vipaumbele vya Mkoa wa Dodoma hasa katika kuinua uchumi wa wananchi wa Mkoa huu.
Hayo yamebainishwa wakati wa kikao cha pili cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Dodoma 2024/2025, kilichofanyika Machi 06, 2025 katika ukumbi wa Mikutano uliopo katika Jengo la Mkapa Jijini humu ambacho kimelenga zaidi kujadili mapendekezo ya Bajeti kwa mwaka mpya wa fedha 2025/2026.
Soma: Mkuu wa Mkoa wa Dodoma: Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa CCM 05 Februari, 2025 kutakuwa na uji bure kwa wananchi
"Sisi kama Mkoa, tunavyo vipaumbele ambavyo tunatamani miradi hii ivipe uzito stahiki, Wataalam tunaendelea na mchakato wa bajeti kwa sasa.Tunategemea kuona mabadiliko ya miundombinu hii
kuimarika kwenye Mkoa wetu lakini mwisho wa siku miundombinu ni uchumi, huduma za wananchi zitaimarika, na baadae uchumi wa wananchi utaimarika pia".
Soma: Mkuu wa Mkoa wa Dodoma: Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa CCM 05 Februari, 2025 kutakuwa na uji bure kwa wananchi
"Sisi kama Mkoa, tunavyo vipaumbele ambavyo tunatamani miradi hii ivipe uzito stahiki, Wataalam tunaendelea na mchakato wa bajeti kwa sasa.Tunategemea kuona mabadiliko ya miundombinu hii
kuimarika kwenye Mkoa wetu lakini mwisho wa siku miundombinu ni uchumi, huduma za wananchi zitaimarika, na baadae uchumi wa wananchi utaimarika pia".