RC Shigella: Hakuna mahindi yaliyozuiwa kuingia Kenya kupitia mpaka wa Horohoro, Jana na leo tumevusha tani 570

RC Shigella: Hakuna mahindi yaliyozuiwa kuingia Kenya kupitia mpaka wa Horohoro, Jana na leo tumevusha tani 570

Kwa hiyo Bashe alikuwa anashoot video ya wimbo wake mpya pale namanga? Hizi cheap popularity na kusaka vyeo kipuuzi hivi zitalisambaratisha taifa kwani hakuna collective leadership ya Nani aseme Nini au ajibu Nini!
 
Kwa hiyo Bashe alikuwa anashoot video ya wimbo wake mpya pale namanga? Hizi cheap popularity na kusaka vyeo kipuuzi hivi zitalisambaratisha taifa kwani hakuna collective leadership ya Nani aseme Nini au ajibu Nini!
Namanga siyo Holoholo bwashee uwe unaelewa!
 
Namanga siyo Holoholo bwashee uwe unaelewa!
Hebu nieleweshe vizuri juu ya mipaka hii miwili ya namanga na horohoro. Ni upi Kati ya hizo unakuwezesha kuingia nchini Kenya? Hivi ukipita namanga unatokea nchi gani na ukipita horohoro unatokea nchi ipi?
 
Mkuu wa mkoa wa Tanga mh Shigella amesema habari zilizoenea mitandaoni kwamba Kenya imezuia mahindi kutoka Tanzania hazina ukweli wowote.

Shigella ambaye amefanya ziara ya kushtukiza mpakakani horohoro ameelezwa na afisa forodha wa hapo kuwa tangu tarehe 5 march hadi leo zaidi ya tani 570 za mahindi zimevushwa kuingia Kenya bila usumbufu wowote.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Mahindi tani 260 kutoka Tanzania yakwama mpaka wa Holili upande wa Kenya!
 
Mkuu wa mkoa wa Tanga mh Shigella amesema habari zilizoenea mitandaoni kwamba Kenya imezuia mahindi kutoka Tanzania hazina ukweli wowote.

Shigella ambaye amefanya ziara ya kushtukiza mpakakani horohoro ameelezwa na afisa forodha wa hapo kuwa tangu tarehe 5 march hadi leo zaidi ya tani 570 za mahindi zimevushwa kuingia Kenya bila usumbufu wowote.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Exactly

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom