Uchaguzi 2020 RC Songwe: Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe umeiacha vizuri unaweza usirudi au ukarudi mlemavu

Mimi sina tabia km za Chadema Mkuu,

Tanzania hatutaki ushoga,
Weka picha yako halisi na jina lako halisi ndio mtajuwa kuwa mpo wengi kumuua ben Saanane msifikiri limeisha never ever.....
 
Kwahiyo we boya unahisi ni asilimia ngapi ya watanzania wanatumia hii mitandao?
 
Sawa tutaaga, lkn na yeye aage kabisa mke na mahawara zake
 
Hawa wakubwa watu hatari sana. Hukuti kugusia Haki kwa vile Mashaka maslahi yao yataingiliwa. Juzi kina MTU humu alisema hawa Ma arasii na madisiii na wengine wanawaagiza wasimamizi ambao ni weos na maafisa ELIMU kata KUHAKIKISHA hawamtangazi mpinzanibhata kama akishinda. Na sasa wanazidisha vitisho. Hawapo sahihi kwa Maneno haya kwa kweli. Kamakiongozi hutakiwi kuongea kibabe HV. Naamini tungewachagua hawa hii lugha wasingeitumia.
 
Hiki ni kielelezo mahakama ya kimataifa(ICC)
 
Umeona mazoezi ya majeshi wewe, tema mate chini
 
Wezi ni wezi ata wakija na maneno gani ila tutashinda udhalimu wote
Yoshua 1:9

Lissu usiogope, madiwani msiogope, wabunge msiogope.
Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
 

watu wapo serious sio[emoji16][emoji16][emoji16]

bado siku mbili tuone.
 
Tatizo la kuongelea nyuma ya keyboard
 
Asitishe watu awafiki hata laki moja Hawa,pili awajawalipa nyongeza za mishahara 5 yrs watashangaa watakavyo geukwa hakuna utii kwenye njaa
 
Huyo RC ni mshamba wa madalaka,huu siyo wakati wa kutisha na kuwafokea wenye Nchi,huyo RC hajui kuwa Tanzania ni Mali ya WANANCHI,

Amuulize Omary Bashiru aliyekuwa Raisi wa Sudani yuko wapi?
Nakushauri wala usihofie nenda kalinde kura baba.

Halafu naomba namba ya Omar Bashir nimpigie kumuuliza yupo wapi
 
Na kukiwa na changamoto ya utawala kufanya yasiyo mema, basi lawama itabidi uwape haohao wake zako ili wazifanyie kazi.

Kadri miaka inavyozidi kwenda mbele wanaume wanapungua na wanaongezeka watu wenye uwezo tu wa kumpa mimba mwanamke.
Wala usihofu

Kalinde kura
 
Atutajie na sheria inayomzuia mwananchi kulinda kura yake/zake.
 
Kuna watu wanaona TANZANIA ni mali yao nawakumbusha tu you cant stay fresh forever
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…