Uchaguzi 2020 RC Songwe: Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe umeiacha vizuri unaweza usirudi au ukarudi mlemavu

Uchaguzi 2020 RC Songwe: Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe umeiacha vizuri unaweza usirudi au ukarudi mlemavu

Mimi na familia yangu nitapiga kura turudi nyumbani
Tukishampigia kura Magufuli na Ccm tunaenda kupumzika

Nimeskia kuna mtu amekata tikit ya kurudi kwao ubeligiji baada ya kuona Watanzania wamamkataa
Familia gani mkeo nabii tito
 
Mimi na familia yangu nitapiga kura turudi nyumbani
Tukishampigia kura Magufuli na Ccm tunaenda kupumzika

Nimeskia kuna mtu amekata tikit ya kurudi kwao ubeligiji baada ya kuona Watanzania wamamkataa
Naona ajira yako itaisha baada ya uchaguzi
 
View attachment 1611248

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brg. Mwangela amewaonya raia wote wanaotaka kulinda kura zao baada ya zoezi la kupiga kura.

Brg. Mwangela amenukuliwa akisema "Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au ukarudi mlemavu"
Ajira yake imebakiwa na masaa machache sana , nadhani huyu ndio alikuwa miongoni mwa Ma RC wa mwanzo sana kuonywa na Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom