Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Nilisoma kwenye chombo kimoja cha habari iidaiwa watuhumiwa wote wamekamatwa na kuhusiana na tukio hilo. Sasa hii piga piga raia imetoka wapi?Hapo wahalifu ni raia wote wa tbr kwan samak mmoja akioza wote wameoza
Mlipigwa na polisi? Au polisi pamoja na Jwtz? Polisi kukagua kwenye gesti na ili kujua kama kuna raia wema wageni wamefikia hapo ni jambo la kawaida. Sasa kama mlikuwa mmeandikiswa kwenye kitabu na vitambulisho mnavyo kwa nini wawakamate na kuwapiga?Kufuatia kuuwawa kikatili kwa asikari wa JWTZ akiwa anatoka dolia ,kumeleta sintofahamu kwa wakazi wa mjini Tabora,Mimi nikiwa raia mwema,nimesikitishwa na vitendo vya asikari wa Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania kuwatembezea kipigo raia bila huruma kila wanaekutana nae tena bila kumpa hata nafasi ya kumhoji na kujitetea.mfano mimi nimetoka kijijini kwenye msiba wa mtoto wa kaka yangu aliyefariki siku sita zilizopita kwa kuumwa na nyoka.lakini hapo Jana nimefikia nyumba mojawapo ya kulala wageni ili asubui niendelee na safari kuelekea mikoa ya pwani ninapoishi baada ya kumaliza msiba,walifika asikari jeshi pamoja na polisi saa tano usiku,wakatutoa ndani ya vyumba watu 5 tuliokuwa tumelala hapo,bila hata kutuhoji,walianza kutupiga na kisha tukapelekwa kituo kikuu cha polisi Tabora tukiwa tumepigwa vibaya sana ,pamoja na mlinzi na wahudumu 4, tukiwa hapo kituoni alitufata mmiliki wa nyumba hiyo ya kulala wageni ,aliwasiliana na viongozi wa Polisi ndipo tukafanikiwa kutolewa lokap ,ilikuwa saa nane usiku,mmiliki wa nyumba yawageni akatueleza kuwa amewapa polisi shilingi laki moja ndiyo wametuachia,lakini tulikuta watu wengi sana wakiwa wamepigwa vibaya sana,
Kwanza sipingani au sifurahii juu ya unyama waliomfanyia asikari wa JWTZ hadi kumuua ,ni kitendo cha kinyama na cha kikatili walicho mfanyia asikari wetu akiwa anatoka kutimiza majukumu yake.Bali ni utalatibu mbaya unaotumika kuwabaini wahalifu,naamini Jeshi la polisi kwa kushilikiana na wananchi walio wema,wanaweza kabisa kuwabaini wahalifu wote,na siamini kama RC Tabora amewatuma wale asikari kuwapiga na kuwatesa kila raia wanaokutana nae.RC ukiwa ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Mkoa wa Tabora nenda kesho Lokap kituo kikuu cha polisi ukajionee mwenyewe raia walivyopigwa.
Nawasilisha
Katika mikoa inayo ongoza kwa matukio ya ujambazi ni huo..maduka yote makubwa saa 12 jioni yamesha fungwa na kuna siku ilinisikitisha majambazi yalivamia kiduka cha mpesa saa 11 jioni yakampiga dada wa mpesa risasi akafa eti yakachukua laki 7.sa kweli laki 7 utoe uhai wa mtu.Kufuatia kuuwawa kikatili kwa asikari wa JWTZ akiwa anatoka dolia ,kumeleta sintofahamu kwa wakazi wa mjini Tabora,Mimi nikiwa raia mwema,nimesikitishwa na vitendo vya asikari wa Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania kuwatembezea kipigo raia bila huruma kila wanaekutana nae tena bila kumpa hata nafasi ya kumhoji na kujitetea.mfano mimi nimetoka kijijini kwenye msiba wa mtoto wa kaka yangu aliyefariki siku sita zilizopita kwa kuumwa na nyoka.lakini hapo Jana nimefikia nyumba mojawapo ya kulala wageni ili asubui niendelee na safari kuelekea mikoa ya pwani ninapoishi baada ya kumaliza msiba,walifika asikari jeshi pamoja na polisi saa tano usiku,wakatutoa ndani ya vyumba watu 5 tuliokuwa tumelala hapo,bila hata kutuhoji,walianza kutupiga na kisha tukapelekwa kituo kikuu cha polisi Tabora tukiwa tumepigwa vibaya sana ,pamoja na mlinzi na wahudumu 4, tukiwa hapo kituoni alitufata mmiliki wa nyumba hiyo ya kulala wageni ,aliwasiliana na viongozi wa Polisi ndipo tukafanikiwa kutolewa lokap ,ilikuwa saa nane usiku,mmiliki wa nyumba yawageni akatueleza kuwa amewapa polisi shilingi laki moja ndiyo wametuachia,lakini tulikuta watu wengi sana wakiwa wamepigwa vibaya sana,
Kwanza sipingani au sifurahii juu ya unyama waliomfanyia asikari wa JWTZ hadi kumuua ,ni kitendo cha kinyama na cha kikatili walicho mfanyia asikari wetu akiwa anatoka kutimiza majukumu yake.Bali ni utalatibu mbaya unaotumika kuwabaini wahalifu,naamini Jeshi la polisi kwa kushilikiana na wananchi walio wema,wanaweza kabisa kuwabaini wahalifu wote,na siamini kama RC Tabora amewatuma wale asikari kuwapiga na kuwatesa kila raia wanaokutana nae.RC ukiwa ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Mkoa wa Tabora nenda kesho Lokap kituo kikuu cha polisi ukajionee mwenyewe raia walivyopigwa.
Nawasilisha
Na wewe ni mjeda au mgambo? Jeshi liache kuajili watu waliofeli, maana akili na mawazo yao ndio kama hao wanaopiga raia ovyo!Kuwa mjeda yaani jeiwii raha sana natamani ningekuwepo hapo tabora mngenyoooka hatupendag upusipusi
Hao raia walioua ni ndugu zao, wanaishi kwenye majumba yao, kwenye mitaa yao kichapo kitembee mpaka wataje Vibaka wote, Mwanajeshi hawezi kuuliwa kizembe kizembe halafu wenzake wakae kimia ebboooo.na utakuta hao wauaji hakuna hata mmoja aliekamatwa, wameshahamia mkoa mwingine wanaendelea na maisha yao, wanaopata shida ni wengine wasio na hatia, wangefanya upelelezi kwa weledi
Si ndo maana wananchi wakakuueni? Au unadhani huyo mjeda aliyeuwawa alikua anajiona pastor?
Kwa hio jeshi halijafundishwa weledi? Basi litakuwa ni taka takaKuzidi kwa uharifu Tabora, kamati ya ulinzi na Usalama ijitathimini - JamiiForums
JF msiwe wasahaulifu juzi tu mlilalama kuwa Vibaka wamezidi Tabora, leo kazi imeanza mnageuka tena. Ngoja wachapwe mitama kwanza wawataje
Nguvu za kupigwa na raia Hadi kufaMafunzo wanayo pata vyombo vyetu vya ulinzi yanabidi yaangaliwe upya maana iwanacho kiamini wao ni nguvu ndio suluhu ya matatizo
Kuwa mjeda yaani jeiwii raha sana natamani ningekuwepo hapo tabora mngenyoooka hatupendag upusipusi
Màoni kama haya hutolewa na watu wakatili tu, ambao hata utu hawana. Siju katika maisha yako kama umewahi pigwa.Katika mikoa inayo ongoza kwa matukio ya ujambazi ni huo..maduka yote makubwa saa 12 jioni yamesha fungwa na kuna siku ilinisikitisha majambazi yalivamia kiduka cha mpesa saa 11 jioni yakampiga dada wa mpesa risasi akafa eti yakachukua laki 7.sa kweli laki 7 utoe uhai wa mtu. Na mimi nasema wapigwe tu na usikute hiyo operation mkuu wa mkoa ana ijua maana ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa labda ukalalamike kwa jiwe.
Ndio mkuu, unayo?Aisee boss sorry, ile nissan patrol(Y60) ulifanikiwa kuipata?
Performance yake unaionaje both offroad&onroad?
Kkwani wameshindwa kufanya investigation ya kitaaluma kupata wahusika kama wanavyo fanya kwenye matukio mengine?
Askari wa bongo ni mlenda tu unapigwaje na raia hadi kufa?Kkwani wameshindwa kufanya investigation ya kitaaluma kupata wahusika kama wanavyo fanya kwenye matukio mengine?
Sasa unapo piga kila raia unaye muona ndio umetatua tatizo na kumpata muhusika?
Kwani askari wanaua raia mara ngapi ? Tena bila hata hatia? Je na wao wawe wanavamiwa na kupigwa hovyo hovyo?
Ifike mahali waanajeshi wa tanzania na vyombo vyote vya ulizi viache kuamin kwamba viko juu ya sheria na na vina uhuru wa kufanya vyovyote watakavyo bila kuchukua hatua na hivyo ndivyo wanavyo pandikiza chuki zaid
Kama na wewe ni askari na una mawazo kama hayo basi ni hakika tuna jeshi lisilo tumia akili
Jifunzeni kwa wenzenu wanafanyaje kazi na hasa inapo tokea tukio kama hilo sio kutumia nguvu kwa kupiga kila raia naye onekana hiyo inasaidia nini? Zaid ya unyanyasaji na kuzidisha chuki zaid?
Askari wengine eti kwa vile mdemu anaye mtaka yeye kuna raia ana mahusiano naye basi hakawii kumtengenezea kesi yaani ujinga ujinga ujinga
Raia wanaweza sababisha hadi kambi ikafungwa na askari wakatelekeza silaha zao kambini usiombe hali hiyo itokee raia wakichafukwa ni hatari kuliko jeshi