RC Tabora, ingilia kati kwa askari wa JWTZ kupiga raia ovyo

RC Tabora, ingilia kati kwa askari wa JWTZ kupiga raia ovyo

Kufuatia kuuwawa kikatili kwa asikari wa JWTZ akiwa anatoka dolia ,kumeleta sintofahamu kwa wakazi wa mjini Tabora,

Mimi nikiwa raia mwema,nimesikitishwa na vitendo vya asikari wa Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania kuwatembezea kipigo raia bila huruma kila wanaekutana nae tena bila kumpa hata nafasi ya kumhoji na kujitetea.mfano mimi nimetoka kijijini kwenye msiba wa mtoto wa kaka yangu aliyefariki siku sita zilizopita kwa kuumwa na nyoka.lakini hapo Jana nimefikia nyumba mojawapo ya kulala wageni ili asubui niendelee na safari kuelekea mikoa ya pwani ninapoishi baada ya kumaliza msiba,walifika asikari jeshi pamoja na polisi saa tano usiku,wakatutoa ndani ya vyumba watu 5 tuliokuwa tumelala hapo,

Bila hata kutuhoji,walianza kutupiga na kisha tukapelekwa kituo kikuu cha polisi Tabora tukiwa tumepigwa vibaya sana ,pamoja na mlinzi na wahudumu 4, tukiwa hapo kituoni alitufata mmiliki wa nyumba hiyo ya kulala wageni ,aliwasiliana na viongozi wa Polisi ndipo tukafanikiwa kutolewa lokap ,ilikuwa saa nane usiku,mmiliki wa nyumba yawageni akatueleza kuwa amewapa polisi shilingi laki moja ndiyo wametuachia,lakini tulikuta watu wengi sana wakiwa wamepigwa vibaya sana,

Kwanza sipingani au sifurahii juu ya unyama waliomfanyia asikari wa JWTZ hadi kumuua ,ni kitendo cha kinyama na cha kikatili walicho mfanyia asikari wetu akiwa anatoka kutimiza majukumu yake.Bali ni utalatibu mbaya unaotumika kuwabaini wahalifu,naamini Jeshi la polisi kwa kushilikiana na wananchi walio wema,wanaweza kabisa kuwabaini wahalifu wote,na siamini kama RC Tabora amewatuma wale asikari kuwapiga na kuwatesa kila raia wanaokutana nae.

RC ukiwa ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Mkoa wa Tabora nenda kesho Lokap kituo kikuu cha polisi ukajionee mwenyewe raia walivyopigwa.

Nawasilisha
Jeshi wanafundishwa kuua adui wanapokuwa vitani. Kuruhusu jeshi kufanya kazi za kipolisi ni kuvunja haki za binadamu na kuleta uhasama wa raia na jeshi, ambao baadhi yao huishi uraiani.

Uharifu Tabora upo kwa kiwango cha juu, lakini kila mkuu wa mkoa ajae haanzishi mikakati ya kupunguza kiwango cha umasikini wa kutupa uliopo katika wenyeji asilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi lisilo na nidhamu ni sawa na genge la wahuni tu,sasa hapo Polisi na wao wanapata chambichambi,ukilala kituoni,kutoka mpaka mtoe ganji.
 
Primitive ways of life.
Nasikiasikia eti wanavutaga kwanza ili kuondoa woga ili wachakaze hata mjamzito.
 
Hakuna aliye juu ya sheria... Ila Wanajeshi ndiyo zao kujichukuliaga sheria mkononi... Poleni sana...



Cc: mahondaw
 
Acha ulimbukeni wa kishamba na kizamani ww askari atupo hivyo jeshi ni umoja na nidhamu kumpiga mtu inategemea na sio kupiga piga tuu eti kisa ww Askari Jeshi acha izo ww ulimbukeni na ujinga tu uliopitiliza unazani kuwa mwanajeshi ndo mwisho wa maisha kuna maisha baada ya jeshi eti kisa ulipiga coz ikawa ngumu upo rts au officer cadet bac unataka lipiza mtaani uku ulimbukeni uwo...
Kuwa mjeda yaani jeiwii raha sana natamani ningekuwepo hapo tabora mngenyoooka hatupendag upusipusi

121.
 
Katika mikoa inayo ongoza kwa matukio ya ujambazi ni huo..maduka yote makubwa saa 12 jioni yamesha fungwa na kuna siku ilinisikitisha majambazi yalivamia kiduka cha mpesa saa 11 jioni yakampiga dada wa mpesa risasi akafa eti yakachukua laki 7.sa kweli laki 7 utoe uhai wa mtu.

Na mimi nasema wapigwe tu na usikute hiyo operation mkuu wa mkoa ana ijua maana ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa labda ukalalamike kwa jiwe.
Hata jiwe hakubaliani kabisa na kitu kinachoitwa ujambazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa yangu alikua FFU sasa kipindi yuko huko full ubabe yani kupiga raia utafikiri ye hajazaliwa na binadamu, sasa juzi nmekutana nae kadhoofu kuja kuulizia kumbe alifukuzwa kazi.

Nilimuonea huruma sana na nawashauri vijana waluoko majeshini wajifunze kuwa kuna maisha baada ya jeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufuatia kuuwawa kikatili kwa asikari wa JWTZ akiwa anatoka dolia ,kumeleta sintofahamu kwa wakazi wa mjini Tabora,

Mimi nikiwa raia mwema,nimesikitishwa na vitendo vya asikari wa Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania kuwatembezea kipigo raia bila huruma kila wanaekutana nae tena bila kumpa hata nafasi ya kumhoji na kujitetea.mfano mimi nimetoka kijijini kwenye msiba wa mtoto wa kaka yangu aliyefariki siku sita zilizopita kwa kuumwa na nyoka.lakini hapo Jana nimefikia nyumba mojawapo ya kulala wageni ili asubui niendelee na safari kuelekea mikoa ya pwani ninapoishi baada ya kumaliza msiba,walifika asikari jeshi pamoja na polisi saa tano usiku,wakatutoa ndani ya vyumba watu 5 tuliokuwa tumelala hapo,

Bila hata kutuhoji,walianza kutupiga na kisha tukapelekwa kituo kikuu cha polisi Tabora tukiwa tumepigwa vibaya sana ,pamoja na mlinzi na wahudumu 4, tukiwa hapo kituoni alitufata mmiliki wa nyumba hiyo ya kulala wageni ,aliwasiliana na viongozi wa Polisi ndipo tukafanikiwa kutolewa lokap ,ilikuwa saa nane usiku,mmiliki wa nyumba yawageni akatueleza kuwa amewapa polisi shilingi laki moja ndiyo wametuachia,lakini tulikuta watu wengi sana wakiwa wamepigwa vibaya sana,

Kwanza sipingani au sifurahii juu ya unyama waliomfanyia asikari wa JWTZ hadi kumuua ,ni kitendo cha kinyama na cha kikatili walicho mfanyia asikari wetu akiwa anatoka kutimiza majukumu yake.Bali ni utalatibu mbaya unaotumika kuwabaini wahalifu,naamini Jeshi la polisi kwa kushilikiana na wananchi walio wema,wanaweza kabisa kuwabaini wahalifu wote,na siamini kama RC Tabora amewatuma wale asikari kuwapiga na kuwatesa kila raia wanaokutana nae.

RC ukiwa ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Mkoa wa Tabora nenda kesho Lokap kituo kikuu cha polisi ukajionee mwenyewe raia walivyopigwa.

Nawasilisha
ko unatuchongea kwa mkula et 🤔🤔🤔
 
Acha ulimbukeni wa kishamba na kizamani ww askari atupo hivyo jeshi ni umoja na nidhamu kumpiga mtu inategemea na sio kupiga piga tuu eti kisa ww Askari Jeshi acha izo ww ulimbukeni na ujinga tu uliopitiliza unazani kuwa mwanajeshi ndo mwisho wa maisha kuna maisha baada ya jeshi eti kisa ulipiga coz ikawa ngumu upo rts au officer cadet bac unataka lipiza mtaani uku ulimbukeni uwo...

121.
Hata wewe ungekuwa near ungekula over
 
Kuna jamaa yangu alikua FFU sasa kipindi yuko huko full ubabe yani kupiga raia utafikiri ye hajazaliwa na binadamu, sasa juzi nmekutana nae kadhoofu kuja kuulizia kumbe alifukuzwa kazi.

Nilimuonea huruma sana na nawashauri vijana waluoko majeshini wajifunze kuwa kuna maisha baada ya jeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umenena ukweli ni wakati muafaka kujitathmini sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao wajeda ni wale wachache wasio na shule kichwani.
 
Back
Top Bottom