RC Tabora, ingilia kati kwa askari wa JWTZ kupiga raia ovyo

Hawa dawa yao ni kuwabeba kila mara kuwapeleza zile nchi zenye vita wakitoka uko wengine vilema na wengine wanarud kwenye masanduku akili ndo zitakaaa vizuri,,,sio kukaaa umu Tz kuzunguka zunguka ohooo mm mjeda sh@nZ kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana...njia wanayotumia siyo nzuri..hata kidogo..
 
Unadhani jeshi la uingereza au ufaransa wangefanya hivyo?
Jiulize tu jibu lako weka kichwani
 
Majeshi kuyachanganya na raia sio vizuri lazima migogoro itokee, ila kama wanakuwa kwenye makambi yao ambayo yako kwenye maeneo ya misitu inakukua sawa

Ila kutokana na nchi zetu za kiafrika unakuta bajeti yao haitoshi au fedha zao zinaelekezwa kwenye shughuli za wanasiasa ili kujitafutia kura basi migogoro ya Wanajeshi na raia haitakwisha
 
Majeshi yote polisi na JWTZ hawawezi kuwajibishwa wafanyalo ujinga endapo aliyefanyiwa ujinga ni mwananchi wa kawaida; Take it from me.
 
Natamani sana Sheria ya Nchi yetu kwa upande wa WAKUDA ingebadilishwa, au kuangaliwa upya.

Tatizo linalokuja ni kwamba, haitowezekana hata kidogo.

Ujue haya mambo ya kuisadia Polisi, au kosa afanye mwingine kisha mnakuja kujumuishwa aliyekuwemo na asiyekuwemo.

Kwa kweli ni kinyume na Haki za Binaadam
 
Ukigusa tu vyombo vya Ulinzi na Usalama hapo hata uwe na haki utaikosa,usitarajie lolote hapo wewe uguza majeraha nenda nyumbani katulie!!!!
 
Jeshi letu limejaa vijana vilaza,wale rejects wa sekondali,ndio wamejaa jeshini,
Kuanzia viongozi wao,hawana akili,sasa ukipiga raia ndio utawajua wauaji!?badala ya kutumia njia za kisayansi,ufsnyike upelelezi,wao wanaenda manualy,kama vile muuaji ameandikwa usoni,tena unaweza kukuta muuaji yupo umo vikosini mwao,na ilikuwa kisa cha wivu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…