Ndio maana nchi hii royal families wanajifanyia wanavyotaka maana watanzania hawana push back na wote wanasubiri kupangwa, RC aelewe kuwa yeye ni public figure anachokitamka lazima akipime kwanza ili aline heshima yake,ofisi yake na kama hawezi aachie madaraka haya na kurudi kijiweni,nchi hii ingekua na mikoa 15 tu ,mpumbavu huyu asingeupata u RC huu, Dar ya Mhavile J.ilikua super