RC wa DSM Chalamila ajiuzuru haraka sana hio nafasi ya ukuu wa mkoa wa DSM

RC wa DSM Chalamila ajiuzuru haraka sana hio nafasi ya ukuu wa mkoa wa DSM

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Ni aibu ufafanuzi wake kuhusu clip inamfunua akikebehi maskini hasa wagonjwa wasio na uwezo kiuchumi kujigharamia , lugha yake ya mwili katika kujitetea hauji katika ukweli awamu hii Chalamila amekamatika tena ajiuzuru ama afukuzwe haraka sana amevimbiwa,.

Huyu mtu pumbavu wa kutupwa anajifanya kuongea English ya hovyo huku nafsi na uso na ulimi wake vikimsuta.

Rais S S, Hassan mtoe haraka huyu lopolopo ambae hana adabu.

CCM mtoeni huyu kibwengo mwenye dharau kiasi hicho.
 
Nyie ndo mlimshangilia Magufuli alivowaita wanyonge
Yaani kukwambia uchangie elfu 50 unaona kakudhalilisha
Mimba ni process na mipango sio ajali

Mnabet, sare za shughuli mnavaa, mnapenda Moshi Xmas ila mkiambiwa kuchangia elfu 50 mnawaka kama moto wa petrol
 
Nyie ndo mlimshangilia Magufuli alivowaita wanyonge
Yaani kukwambia uchangie elfu 50 unaona kakudhalilisha
Mimba ni process na mipango sio ajali

Mnabet, sare za shughuli mnavaa, mnapenda Moshi Xmas ila mkiambiwa kuchangia elfu 50 mnawaka kama moto wa petrol
Utaondoka nae pumbavu imetosha sasa
 
Nyie ndo mlimshangilia Magufuli alivowaita wanyonge
Yaani kukwambia uchangie elfu 50 unaona kakudhalilisha
Mimba ni process na mipango sio ajali

Mnabet, sare za shughuli mnavaa, mnapenda Moshi Xmas ila mkiambiwa kuchangia elfu 50 mnawaka kama moto wa petrol
Hao ndio waTanzania,.
 
Utaondoka nae pumbavu imetosha sasa
Haondoki mtu
Awanyoshe nyie wajamaa wapenda dezo
Mnataka serikali igharimikie hadi starehe zenu
Mnabinjuana huko
Mnakuja kujiliza hamtaki kuchangia
 
Back
Top Bottom