Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Mbona vitisho vimekuwa vingi sana kipindi hiko cha karibuni? Yaani kila mtu anamtisha mnyonge wake.
Kuna nini?
========================================================
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima ametishia kuwahamisha baadhi ya watumishi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MORUWASA) baada ya kuzidi kwa malalamiko ya ukosefu wa huduma ya maji ndani ya Manispaa ya Morogoro.
Malima amezungumza hayo katika kikao cha kamati ya Ushauri ya mkoa na kuongeza kuwa hafurahishwi na majibu ya watendaji hao juu ya suluhu ya adha ya uhaba wa maji kwa wananchi mkoani humo.
Source: Manara TV
Mbona vitisho vimekuwa vingi sana kipindi hiko cha karibuni? Yaani kila mtu anamtisha mnyonge wake.
Kuna nini?
========================================================
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima ametishia kuwahamisha baadhi ya watumishi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MORUWASA) baada ya kuzidi kwa malalamiko ya ukosefu wa huduma ya maji ndani ya Manispaa ya Morogoro.
Malima amezungumza hayo katika kikao cha kamati ya Ushauri ya mkoa na kuongeza kuwa hafurahishwi na majibu ya watendaji hao juu ya suluhu ya adha ya uhaba wa maji kwa wananchi mkoani humo.