Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima ametishia kuwahamisha baadhi ya watumishi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MORUWASA) baada ya kuzidi kwa malalamiko ya ukosefu wa huduma ya maji ndani ya Manispaa ya Morogoro.
Malima amezungumza hayo katika kikao cha kamati ya Ushauri ya mkoa na kuongeza kuwa hafurahishwi na majibu ya watendaji hao juu ya suluhu ya adha ya uhaba wa maji kwa wananchi mkoani humo.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe Adam Malima ametishia kuwahamisha baadhi ya watumishi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MORUWASA) baada ya kuzidi kwa malalamiko ya ukosefu wa huduma ya maji ndani ya Manispaa ya Morogoro.
Malima amezungumza hayo katika kikao cha kamati ya Ushauri ya mkoa na kuongeza kuwa hafurahishwi na majibu ya watendaji hao juu ya suluhu ya adha ya uhaba wa maji kwa wananchi mkoani humo.
Leo nimepiga namba ya MORUWASA Huduma kwa wateja (0800751011) Nashangaa naambiwa "NAMBA ULIYOPIGA SIYO SAHIHI TAFADHALI HAKIKI KABLA YA KUPIGA TENA"
Nikadhani shida ni Mtandao! nimejaribu siku nzima majibu ni yaleyale. Ngachokaa!