Uchaguzi 2020 RC wa Mwanza, John Mongela avunja Mwiko wa Kampeni Kwa Kuongea Ukweli Bayana!, "Tukimpa Mitano Tena, JPM Kuigeuza Tanzania Nchi ya Maziwa na Asali"

Uchaguzi 2020 RC wa Mwanza, John Mongela avunja Mwiko wa Kampeni Kwa Kuongea Ukweli Bayana!, "Tukimpa Mitano Tena, JPM Kuigeuza Tanzania Nchi ya Maziwa na Asali"

Wanabodi,

Kwanza sikiliza hii



Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongela, ni moja wa Ma RC very bold katika kuusema ukweli bayana!, leo amevunja mwiko wa ukimya kwa viongozi wa serikali kutompigia kampeni zozote za kisiasa kwa mgombea yoyote, kwasababu hawa ni viongozi wa kiutendaji, lakini RC John Mongela, amevunja ukimya wa kumhusu JPM, kwa kuusema ukweli wa moyo wake kuwa bila Dr. John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania, tusingefika hapa tulipo!, huo ndio ukweli wa mambo.

Mongela amesisitiza na hapa nina mnukuu, "Sisi ni Watanzania, lazima tuwe wazalendo, kwenye mambo ya msingi, hatuwezi kuwa na aibu kusema, tunasemea nchi yetu, tunasemea mustakabali wa kizazi chetu na vizazi vingine vijavyo, wazee waliotangulia walitimiza wajibu wao, na sasa tumepata kiongozi mzalendo mahiri, ambaye amejitoa sadaka kwa ajili ya nchi yetu, tuendelee kumuombea, lakini tarehe 28 October, mimi nikiwa kama kiongozi, niwaombeni tutoke, tukapige kura, ili Mhe Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kama miaka mitano ilikuwa hivi, tukimpa tena miaka mitano mingine, itakuwaje?, na walioona kitabu cha ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi, na mimi kwa nafasi yangu ndio mratibu na msimamizi mkuu wa utekelezaji wa ilani kwenye mikoa, tunakokwenda ni nchi ya maziwa na asali, tumuombee rais wetu, tumuunge mkono, tukapige kura, ili twende kwenye mafanikio makubwa ya kiuchumi na kijamii!.

Akiunga mkono hoja, mwandishi wa makala hii, alisisitiza, umuhimu wa waandishi wa habari na vyombo vya habari, kutoshabikia vyama wala wagombea, ila amesisitiza, kama tunataka maendeleo ya kweli, then, tunajua ni chama gani kinaweza kutuletea maendeleo ya kweli na sio ahadi, na ni mgombea gani anaweza kutuletea maendeleo ya kweli, hivyo tarehe 28, Watanzania, Tusifanye Makosa!.

Paskali

Labda kama unaongelea kazi na asali ya mkeo
 
NEC mnatuambia nini kuhusu watumishi wa umma waandamizi kukipigia kampeni za wazi wazi chama tawala?
 
Watu wanaenda kusikia kejeri zake, lakini hakuna sera pale
CCM acheni chuki jengeni hoja kumjibu Lissu.Naona mnaumbuka achaneni na matusi.Hoja za TL zinatakiwa zijibiwe tena kwa vitendo.Kama hamkuongeza mishahara ya wafanyakazi miaka 5 ongezeni,mmevunja nyumba za watu bila fidia,lipeni fidia,hakuna ajira mpya miaka 5,toeni ajira.Mmeondoa fao la kujitoa,lirudisheni.Mmenyang'anya hela za rambirambi tetemeko la ardhi bukoba ,rudisheni.Hoja za kuwaita wahisani wenu wa maendeleo,usaid,DFID,DANIDA na wengineo , Mabeberu ni hoja mufilisi,hazina mashiko.Vinginevyo wananchi wanamsikiliza Lissu.
 
Pumbavu
Wanabodi,

Kwanza sikiliza hii



Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongela, ni moja wa Ma RC very bold katika kuusema ukweli bayana!, leo amevunja mwiko wa ukimya kwa viongozi wa serikali kutompigia kampeni zozote za kisiasa kwa mgombea yoyote, kwasababu hawa ni viongozi wa kiutendaji, lakini RC John Mongela, amevunja ukimya wa kumhusu JPM, kwa kuusema ukweli wa moyo wake kuwa bila Dr. John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania, tusingefika hapa tulipo!, huo ndio ukweli wa mambo.

Mongela amesisitiza na hapa nina mnukuu, "Sisi ni Watanzania, lazima tuwe wazalendo, kwenye mambo ya msingi, hatuwezi kuwa na aibu kusema, tunasemea nchi yetu, tunasemea mustakabali wa kizazi chetu na vizazi vingine vijavyo, wazee waliotangulia walitimiza wajibu wao, na sasa tumepata kiongozi mzalendo mahiri, ambaye amejitoa sadaka kwa ajili ya nchi yetu, tuendelee kumuombea, lakini tarehe 28 October, mimi nikiwa kama kiongozi, niwaombeni tutoke, tukapige kura, ili Mhe Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kama miaka mitano ilikuwa hivi, tukimpa tena miaka mitano mingine, itakuwaje?, na walioona kitabu cha ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi, na mimi kwa nafasi yangu ndio mratibu na msimamizi mkuu wa utekelezaji wa ilani kwenye mikoa, tunakokwenda ni nchi ya maziwa na asali, tumuombee rais wetu, tumuunge mkono, tukapige kura, ili twende kwenye mafanikio makubwa ya kiuchumi na kijamii!.

Akiunga mkono hoja, mwandishi wa makala hii, alisisitiza, umuhimu wa waandishi wa habari na vyombo vya habari, kutoshabikia vyama wala wagombea, ila amesisitiza, kama tunataka maendeleo ya kweli, then, tunajua ni chama gani kinaweza kutuletea maendeleo ya kweli na sio ahadi, na ni mgombea gani anaweza kutuletea maendeleo ya kweli, hivyo tarehe 28, Watanzania, Tusifanye Makosa!.

Paskali
 
CCM acheni chuki jengeni hoja kumjibu Lissu.Naona mnaumbuka achaneni na matusi.Hoja za TL zinatakiwa zijibiwe tena kwa vitendo.Kama hamkuongeza mishahara ya wafanyakazi miaka 5 ongezeni,mmevunja nyumba za watu bila fidia,lipeni fidia,hakuna ajira mpya miaka 5,toeni ajira.Mmeondoa fao la kujitoa,lirudisheni.Mmenyang'anya hela za rambirambi tetemeko la ardhi bukoba ,rudisheni.Hoja za kuwaita wahisani wenu wa maendeleo,usaid,DFID,DANIDA na wengineo , Mabeberu ni hoja mufilisi,hazina mashiko.Vinginevyo wananchi wanamsikiliza Lissu.
Yote uliyo ongea hapo hayana tija na wala sio hoja,
Hayo mashirika unayosema kama yatafanya kazi bila kuingiliwa na watu ambao sio wazuri basi yana tija, ila mabeberu yakipitisha mikono yao humo basi hugeuka na kufanya kazi za beberu,
Hata viongozi wenu ni beberu maana wamekula pesa za michango ya wabunge kisha wanataka kuwakoromea.
 
Wanabodi,

Kwanza sikiliza hii



"na sasa tumepata kiongozi mzalendo mahiri, ambaye amejitoa sadaka kwa ajili ya nchi yetu,

Paskali

Wanabodi, mambo ya kauli kauli kauli!. Baadhi ya kauli tunazotoa bila sisi wenyewe kujijua, utakuta kauli hizo zina powers za kuumba, zinakuja kuumba hicho kitu kilichosemwa!.

Mfano haya mambo ya kumuita mtu aliye hai kuwa amejitoa sadaka, kwa sababu sadaka ni kitu kinachotolewa kwa Mungu, kitendo cha kusema fulani amejitoa sadaka, ni kumwambia Mungu aichukue sadaka yake. Ukiisha kuwa umetolewa sadaka, wewe sasa unakuwa sio mtu wa dunia hii, wewe unakuwa ni mtu wa Mungu, hivyo usikute....

P
 
Back
Top Bottom