TANZIA RCO wa Polisi Dodoma afariki Dunia

TANZIA RCO wa Polisi Dodoma afariki Dunia


Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
Tundu Lissu asingeenda Kituoni Kwao ( Police Dodoma ) Wiki kadhaa zilizopita Kudai Gari lake lile lile alilopatwa nalo Mkasa wa kutaka Kuuwawa mbele ya CCTV Camera za Kulinda Makazi ya aliyekuwa Naibu Spika ( sasa Spika ) sidhani kama Taarifa ya Kifo hiki tungesikia.

Mtakaonielewa kwa Undani zaidi mbarikiwe mno na Mwenyezi Mungu ila kwa sasa GENTAMYCINE naomba niishie hapa tu tafadhali huku nikishauri kuwa mkikubaliana Jambo kwa pamoja kamwe usije baadae tena Ukawageuka kwani hawatokuwa na jinsi bali Kutenda kwa Kadri ya Kiapo chako kama Kamanda.

R.I.P RCO wa Makao Makuu Dodoma.
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
Mungu ni fundi wasiojulikana kumbe nao hufa
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
Mimi nafikiri unatuletea taarifa rasmi ya sababu ya kifo. Kumbe unaongea utopolo wako wa kijinga huku ukijigamba na kuonyesha kuwa ww hautakufa.
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
Mungu ampumzishe panapostahili
 
Mbona una makarisiko. Kwani kakataa kuwa hatakufa?
Yeye pia atakufa ndiyo.

Umekereka kwa sababu kasema ukweli ulivyo?
Tunasubiri kifo chake nae kije kutangazwa hapa
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
Chadema mpango wa Mungu.
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
Karma = cause conditions and effects
 
Jamani mtu anapofariki tuwe tunamuombea heri, na si kuanza kumpa hukumu as if tunamchongea kwa muumba,
RIP KAMANDA.
 
...Hakuna chuki hapo-hawa jamaa ni waonevu sana. Acha akajibu uovu wake mbele ya aliyemuumba.
Umejuaje anaenda kujibu huko........keshamaliza safari yake ya huko mbeleni kama kubet tu
 
Back
Top Bottom