TANZIA RCO wa Polisi Dodoma afariki Dunia

TANZIA RCO wa Polisi Dodoma afariki Dunia

Tundu Lissu asingeenda Kituoni Kwao ( Police Dodoma ) Wiki kadhaa zilizopita Kudai Gari lake lile lile alilopatwa nalo Mkasa wa kutaka Kuuwawa mbele ya CCTV Camera za Kulinda Makazi ya aliyekuwa Naibu Spika ( sasa Spikusia ) sidhani kama Taarifa ya Kifo hiki tungesikia.

Mtakaonielewa kwa Undani zaidi mbarikiwe mno na Mwenyezi Mungu ila kwa sasa GENTAMYCINE naomba niishie hapa tu tafadhali huku nikishauri kuwa mkikubaliana Jambo kwa pamoja kamwe usije baadae tena Ukawageuka kwani hawatokuwa na jinsi bali Kutenda kwa Kadri ya Kiapo chako kama Kamanda.

R.I.P RCO wa Makao Makuu Dodoma.
Alikua mgonjwa muda mrefu alifanyiwa upasuaji wa kichwa Hospital yq benjamin mkapa lakin bado hakuwa vizuri alivyoletwa muhimbili kufanyiwa upsuaji mwingine hakuweza kuamka tena usingizini
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
KILA ROHO ITAONJA MAUTI
 
Alikua mgonjwa muda mrefu alifanyiwa upasuaji wa kichwa Hospital yq benjamin mkapa lakin bado hakuwa vizuri alivyoletwa muhimbili kufanyiwa upsuaji mwingine hakuweza kuamka tena usingizini
Leo mtasema yote ila nililolisema lina Ukweli mahala fulani kutokana na Historia yake na Tukio zima la Tundu Lissu hasa la kudai Gari lake alilopatwa nalo Ajali.
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
Mpigaji
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
Wewe numb kweli, Huyu bwana kawa RCO karibuni hapa wala masala ya CHADEMA hajawahi kuhusika nayo
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
Unapoandika na kutia chokochoka as if na ww hutokufa!!??
Huyu askari alikuwa anatekeleza wajibu wake.
 
Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.
Huu u-CHADEMA wenu ndiyo ule utakawaofanya Mungu asithubutu kabisa kuwapa nchi hii hata siku moja; kwa sababu mnamkufuru sana Mungu

Kumbukeni kuwa anayetoa Nchi ni Mungu, na si wanachama wa CHADEMA au CCM
 

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.

Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.

Apumzike kwa Amani, Amina
CHANZO CHA MAUTI YAKE WAMESEMA NI NINI?
 
Mrs Lissu
Hiyo dislike inanipa faraja kwamba angalau wapo watu wenye akili huko kwa sababu machizi tu ndiyo wale ambao hawawezi kutofautisha like na dislike kwa sababu hawajui kama hata zina exist
 
Back
Top Bottom