econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Chadema vichwani ni upopo sana Leo nimemsikiliza Lema DW Swahili dah hovyo kabisa
Wewe ndio hovyo Sana, umekalia negativity kwa CHADEMA mpaka ukweli unauita hovyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema vichwani ni upopo sana Leo nimemsikiliza Lema DW Swahili dah hovyo kabisa
Hili pumbavu mtu kajifia zake huko badala kumuombea kheri ya kuzimu linaleta mambo ya Chadema tena.
Inahusiana nini na kifo chake we mtu wa ajabu kabisa
Marehemu hasemwi vibaya. Apumzike kwa amani, Amina
Mimi nafikiri unatuletea taarifa rasmi ya sababu ya kifo. Kumbe unaongea utopolo wako wa kijinga huku ukijigamba na kuonyesha kuwa ww hautakufa.
Kwa hizi siasa chadema mtaishia kuwa walamba makalio tu
Jamani mtu anapofariki tuwe tunamuombea heri, na si kuanza kumpa hukumu as if tunamchongea kwa muumba,
RIP KAMANDA.
Wewe numb kweli, Huyu bwana kawa RCO karibuni hapa wala masala ya CHADEMA hajawahi kuhusika nayo
Unapoandika na kutia chokochoka as if na ww hutokufa!!??
Huyu askari alikuwa anatekeleza wajibu wake.
Huu u-CHADEMA wenu ndiyo ule utakawaofanya Mungu asithubutu kabisa kuwapa nchi hii hata siku moja; kwa sababu mnamkufuru sana Mungu
Kumbukeni kuwa anayetoa Nchi ni Mungu, na si wanachama wa CHADEMA au CCM
Nyie wapumbavu bado mnagMtu aliyekufa haombewi kheri. Matendo yake ndiyo yatakuhukumu. Ukiwa mzima, ushindwe kutenda mema ila ukifa ndiyo uombewe kheri kwa misingi ipi?
Yaani licheo lote hilo plus marushwa ya kila kukicha hata hela ya kumpeleka hapo India ilikosa????Alikua mgonjwa muda mrefu alifanyiwa upasuaji wa kichwa Hospital yq benjamin mkapa lakin bado hakuwa vizuri alivyoletwa muhimbili kufanyiwa upsuaji mwingine hakuweza kuamka tena usingizini
Kwa Lema ni sawa. Kichwani hayupo smart. Ingawa yeye anadhani yupo smart.anaongea sana na anaongea pumba mara nyingi.Chadema vichwani ni upopo sana Leo nimemsikiliza Lema DW Swahili dah hovyo kabisa
Aliwaonea hao wapi?Wakati anawaonea kina Mwaipaya na Nusrat hanje, mlichekelea, leo mnakumbushwa mnajifanya kuja juu. Ukitenda maovu haindoi uhalali wa kutokusemwa ukifa.
Nimejigambia wapi ?Mimi nafikiri unatuletea taarifa rasmi ya sababu ya kifo. Kumbe unaongea utopolo wako wa kijinga huku ukijigamba na kuonyesha kuwa ww hautakufa.
Hapo chokochoko iko wapi ?Unapoandika na kutia chokochoka as if na ww hutokufa!!??
Huyu askari alikuwa anatekeleza wajibu wake.
kuna polisi wangapi wanakufa nchi hii , unadhani kwanini tumeandika habari za huyu tu ?Huu u-CHADEMA wenu ndiyo ule utakawaofanya Mungu asithubutu kabisa kuwapa nchi hii hata siku moja; kwa sababu mnamkufuru sana Mungu
Kumbukeni kuwa anayetoa Nchi ni Mungu, na si wanachama wa CHADEMA au CCM
Statement zako zinaonyesha tu kuwa mtu anayekufa Kuna kitu amekosea.Na kwamba kwann anakufa?This is my accurate analysis of your statement regarding the death of the RCO.Nimejigambia wapi ?
Wapi niliposema nitaishi milele ?Unaandika kama wewe utaishi milele hongera sana wewe utaishi milele .