Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Ningependa kupata ushauri kwa wenye watoto kwenye shule hizi.Kiafya,kisaikolojia na kiakili
Nitaongelea kuhusu
a)Muda wa shule (b)Muda wa kupumzika(c)Home works (d)Weekend works(Holiday Packages)
e)Ada kubwa waalim wavivu
Mtoto inabidi amke saa kumi na moja na nusu kwa baadhi ya maeneo.Na anatoka shule saa tisa na kufika nyumbani saa kumi na mbili jioni.
Hapo unakuta mtoto kutwa nzima hajalala,na nielewavyo mie kipindi cha ukuwaji wa mtoto ulalaji hasa wa mchana ni bora sana kwa afya yake na Afya ya akili kwa ujumla.Na ukizingatia kaamka alfajiri.
Hapo napima kuhusu uelewa wa mtoto kwa masomo ya mchana kama anakamata kitu.
Na wakati huo anafika nyumbani saa kumi na mbili ana home works telee,karibu karatasi tatu in full kila siku.
Sasa hapa ndio najiuliza,muda aliomka na muda wa kurudi na muda wa kufanya home works nyingi namna hiyo tena on daily basis.Kweli hapo kichwa kinakuwa sawa?na je muda gani atapata wa kurejea masomo ya nyuma,yaani hata kama umempangia Time Table ya kujisomea Nyumbani haiwezekani kabisa.Akimaliza Home works ni kula kisha ni kulala tu kwa mchoko.
Maana kila akirudi ana home works kibao,na ikifika mtihani inabidi sasa ndio arejee masomo ya nyuma kwa kukariri,maana alikuwa hanamuda wa kufanya rejea.
Huu wingi wa Home works nahisi kama ni uvivu wa waalim kufundisha,wanakula pesa ndefu lakini hapa naona kama ni kutegea,wanajua mzazi upo nyumbani utamsaidia majukum,hili sio tatizo ila sio kwa kiwango hiki kwa kila siku.
Na ikifkia weekend basi ni booklet nzima ndio home work.
Mwisho wa siku inakuwa ni kumuwekea mazingira ya mtoto kukariri tu kwa ajili ya mtihani na sio kuelewa.
Maana hana muda wa kufanya rejea ya msomo ya nyuma.Angalau Home works zingekua zinatolewa weekends tu ili katikati ya wiki mzazi apate muda wa kumwekea mwane ratiba ya kusoma na kumsimamia, hata kama anatoka mida hiyo angalau kwa lisaa limoja apate kufanya rejea,lakini kilasiku home works karatasi tatu,
Hembu naoma tushauriane hili hasa kwa upande wa Afya ya mtoto na akili under 10yrs.
Nitaongelea kuhusu
a)Muda wa shule (b)Muda wa kupumzika(c)Home works (d)Weekend works(Holiday Packages)
e)Ada kubwa waalim wavivu
Mtoto inabidi amke saa kumi na moja na nusu kwa baadhi ya maeneo.Na anatoka shule saa tisa na kufika nyumbani saa kumi na mbili jioni.
Hapo unakuta mtoto kutwa nzima hajalala,na nielewavyo mie kipindi cha ukuwaji wa mtoto ulalaji hasa wa mchana ni bora sana kwa afya yake na Afya ya akili kwa ujumla.Na ukizingatia kaamka alfajiri.
Hapo napima kuhusu uelewa wa mtoto kwa masomo ya mchana kama anakamata kitu.
Na wakati huo anafika nyumbani saa kumi na mbili ana home works telee,karibu karatasi tatu in full kila siku.
Sasa hapa ndio najiuliza,muda aliomka na muda wa kurudi na muda wa kufanya home works nyingi namna hiyo tena on daily basis.Kweli hapo kichwa kinakuwa sawa?na je muda gani atapata wa kurejea masomo ya nyuma,yaani hata kama umempangia Time Table ya kujisomea Nyumbani haiwezekani kabisa.Akimaliza Home works ni kula kisha ni kulala tu kwa mchoko.
Maana kila akirudi ana home works kibao,na ikifika mtihani inabidi sasa ndio arejee masomo ya nyuma kwa kukariri,maana alikuwa hanamuda wa kufanya rejea.
Huu wingi wa Home works nahisi kama ni uvivu wa waalim kufundisha,wanakula pesa ndefu lakini hapa naona kama ni kutegea,wanajua mzazi upo nyumbani utamsaidia majukum,hili sio tatizo ila sio kwa kiwango hiki kwa kila siku.
Na ikifkia weekend basi ni booklet nzima ndio home work.
Mwisho wa siku inakuwa ni kumuwekea mazingira ya mtoto kukariri tu kwa ajili ya mtihani na sio kuelewa.
Maana hana muda wa kufanya rejea ya msomo ya nyuma.Angalau Home works zingekua zinatolewa weekends tu ili katikati ya wiki mzazi apate muda wa kumwekea mwane ratiba ya kusoma na kumsimamia, hata kama anatoka mida hiyo angalau kwa lisaa limoja apate kufanya rejea,lakini kilasiku home works karatasi tatu,
Hembu naoma tushauriane hili hasa kwa upande wa Afya ya mtoto na akili under 10yrs.