Reaching out to a certain genuine Lady

Reaching out to a certain genuine Lady

hi naitwa intelli, waweza niita raisi wa ma jobless pro max.

"Looking for a genuine connection to a certain genuine Lady to build a meaningful relationship with"

Kiumri nina miaka 25, Mimi ni, mpole, mcheshi, rafiki, msikivu, nisiye penda makelele.

Sinywi pombe, sivuti sigara, bange au shisha.

Nina penda, kula, kutazama vipindi vya televisheni, kusoma vitabu, majarida.

Kimaumbile mimi ni mrefu, mweusi na mwili wa kati.

Reaching out to a lady (narudia a lady), mwenye umri kuanzia 22-30 who is a natural smiler, mwenye hulka ya kike, msikivu, mwenye heshima.
View attachment 3207657
Miaka 25 unatoa wapi nyegezi stand na huna kazi 😅
 
hi naitwa intelli, waweza niita raisi wa ma jobless pro max.

"Looking for a genuine connection to a certain genuine Lady to build a meaningful relationship with"

Kiumri nina miaka 25, Mimi ni, mpole, mcheshi, rafiki, msikivu, nisiye penda makelele.

Sinywi pombe, sivuti sigara, bange au shisha.

Nina penda, kula, kutazama vipindi vya televisheni, kusoma vitabu, majarida.

Kimaumbile mimi ni mrefu, mweusi na mwili wa kati.

Reaching out to a lady (narudia a lady), mwenye umri kuanzia 22-30 who is a natural smiler, mwenye hulka ya kike, msikivu, mwenye heshima.
View attachment 3207657
Nani kadukua account yakoo.. wewe huyooo 🥸🥸🥸
 
Madame B, Hannah nita toboa au nika jifunze tena??
Mbona hueleweki?
Mbwembwe zote zile humu kumbe ulikuwa single? 🤔🤔🤔

Hebu tuwekee picha yako, kata kuanzia kidevuni kwenda juu ila kuanzia shingoni kushuka huku chini tuachie ili tukujadili kidogo.
Piga picha ukiwa umesimama full.

Na mambo ya lawama baadae hatutaki.
Useme kabisa kama unataka single mother au lah!
Manake wanaume wa humu kwa visirani hamjambo!!!!
 
Mbona hueleweki?
Mbwembwe zote zile humu kumbe ulikuwa single? 🤔🤔🤔

Hebu tuwekee picha yako, kata kuanzia kidevuni kwenda juu ila kuanzia shingoni kushuka huku chini tuachie ili tukujadili kidogo.
Piga picha ukiwa umesimama full.

Na mambo ya lawama baadae hatutaki.
Useme kabisa kama unataka single mother au lah!
Manake wanaume wa humu kwa visirani hamjambo!!!!
Mimi nime kuuliza hiyo introduction kwa dating Ina faa??.
Sio kwamba natafuta mchumba bhana.

Beside niki taka nampata chap🤣😂, maana Kuna fixed.....
 
Back
Top Bottom