Wanasahau bado ni mchezaji wa Azam.usisahau kuna sheria za FIFA,
amekataa kuchezea Azam, watakachokifanya Azam ni kumuuza eithet Hilal au Simba (vinginevyo Yanga walete ofa nzuri kuzidi hao wawili),....
Dube hawezi lazimisha kwenda Yanga wakati ana mkataba na Azam, labda avunje mkataba na Azam ndio aende anakotaka!
hawezi force kwenda Yanga ikiwa Yanga hajatuma ofa Azam,
Sheria za mikataba zingekuwa hivi zingekuwa hazina maana ya kuitwa sheriaRudia tena kuisoma hiyo taarifa Mkuu, hiyo imekaa kwa mtindo wa kama kumkomoa Dube alazimishwe kwenda asikopataka.
Hapo kwa timu hizo mbili chaguo lake ni Simba tu, kwa sababu Dube hawezi kuwa tayari kwenda kucheza vitani hata iweje.
Na kwa kuwa Yusuph Bakhressa ni mwanachama wa Simba, hiyo ofa anaitoa mwenyewe tu, ni kama Dube anaenda bure Simba.
Hata Yanga wakipeleka ofa, utasikia Simba wamepanda dau. Mwisho wa siku akacheze Simba na siyo Yanga walioanzisha hii 'sinema'.
Ila, yote kwa yote muda utasema kila kitu. Tujipe muda, ila kwa sasa picha ndiyo hiyo.
Ova
wao wanafikiri mchezaji anaweza kuvunja mkataba kadri anavyotaka, hawajui kuna sheria za FIFA zinazomlinda mchezaji na klabu piaWanasahau bado ni mchezaji wa Azam.
It will be stupid to sign dube and sort out musonda kwakwelithis is true 😂😂. sema dube is worthless. he cant help yanga at the moment. unless they want musoda out. which is stupid also
Hizi barua za Azam siku hizi sijui tatizo nini , hakuna Mhuri wala jina la aliyeidhinisha barua hata Azam media nakumbuka pia walitoa iko hivi na ilikuwa haina hata tareheNimeiona barua ya Azam FC kwa vyombo vya habari.
Kiufupi barua imekaa ki-unproffesional kinoma yaani. Kwanza kabisa kama klabu imepokea offer kutoka vilabu viwili tofauti kwanini Klabu ingoje vilabu vingine vije ku-table offer zao? Huu ni kama mchezo fulani hivi wa kitoto ambao Azam FC wanaucheza baada ya kuona mazungumzo yao ya siri na mchezaji hayakuweza kuzaa matunda.
Je ni kusema kwamba offer za Simba na Al hilal hazijawashawishi Azam FC mpaka waone inafaa kuwangoja wengine (ambako mchezaji husika anapendelea kusajiliwa?)?.
Inafikirisha sana.
Ni sheria za Kiuchumi ambazo Azam FC wanajaribu kucheza nao, Tengeneza DEMAND ili upate fursa ya kubagain price.
Kwa mchezo ulipofikia hivi sasa hii kanuni ya kiuchumi haitowasaidia Azam FC ikiwa mchezaji amekwisha onyesha malavi davi na upande anaopanga kufanya nao kazi.
Hainiingi akilini kuona Dube ambaye alisema anataka kuchezea timu yenye malengo makubwa akachagua kwenda Al Hilal ya sudan ambapo hakuna ligi na timu yenyewe inazurura zurura. Sidhani kama Simba ndio pamekuwa pahala pa DUbe kutamani kwenda ukizingatia perfomance ya Yanga SC hivi sasa.
Nawashauri Azam CUT THE LOSSES. Anzeni upya.
View attachment 2934679
Hii ishu inatofauti gani na kilichofanywa na Feisal Salum? Feisal si alishupalia kuvunja mkataba na Yanga?wao wanafikiri mchezaji anaweza kuvunja mkataba kadri anavyotaka, hawajui kuna sheria za FIFA zinazomlinda mchezaji na klabu pia
Na hawezi kuuzwa team asiyotakausisahau kuna sheria za FIFA,
amekataa kuchezea Azam, watakachokifanya Azam ni kumuuza eithet Hilal au Simba (vinginevyo Yanga walete ofa nzuri kuzidi hao wawili),....
Dube hawezi lazimisha kwenda Yanga wakati ana mkataba na Azam, labda avunje mkataba na Azam ndio aende anakotaka!
hawezi force kwenda Yanga ikiwa Yanga hajatuma ofa Azam,
RAPHINA alogoma kwenda Arsenal & Chelsea ambako Leeds walitaka kumuuza, mwisho wa siku kaenda zake Barcelona tena kwa fee ndogo.usisahau kuna sheria za FIFA,
amekataa kuchezea Azam, watakachokifanya Azam ni kumuuza eithet Hilal au Simba (vinginevyo Yanga walete ofa nzuri kuzidi hao wawili),....
Dube hawezi lazimisha kwenda Yanga wakati ana mkataba na Azam, labda avunje mkataba na Azam ndio aende anakotaka!
hawezi force kwenda Yanga ikiwa Yanga hajatuma ofa Azam,
Wakati wa sakata la Feisal mlipokuwa mnatolewa mfano Neymar kununua mkataba wake wa Barca kwenda Psg mlikuwa mkiukataa Sasa hivi mnaanza kuleta mifano ya ulaya.RAPHINA alogoma kwenda Arsenal & Chelsea ambako Leeds walitaka kumuuza, mwisho wa siku kaenda zake Barcelona tena kwa fee ndogo.
Kumbuka wakati huko hakuwa nje ya mkataba.
YANGA HAWAKUWA NA KUSUDI LA KUMUUZA ASIKO TAKA. WALISEMA ANAYE MTAKA AENDE MEZANI.Wakati wa sakata la Feisal mlipokuwa mnatolewa mfano Neymar kununua mkataba wake wa Barca kwenda Psg mlikuwa mkiukataa Sasa hivi mnaanza kuleta mifano ya ulaya.
Mikataba ya soka ina mambo sana. Ndiyo maana Neymar aliweza kuondola Barca na akaenda PSG licha ya kwamba alikuwa na mkatana mgumu.Sheria za mikataba zingekuwa hivi zingekuwa hazina maana ya kuitwa sheria
Hakika, ndiyo kama kitu nilichokisema kwenye maoni yangu hapo juu.usisahau kuna sheria za FIFA,
amekataa kuchezea Azam, watakachokifanya Azam ni kumuuza eithet Hilal au Simba (vinginevyo Yanga walete ofa nzuri kuzidi hao wawili),....
Dube hawezi lazimisha kwenda Yanga wakati ana mkataba na Azam, labda avunje mkataba na Azam ndio aende anakotaka!
hawezi force kwenda Yanga ikiwa Yanga hajatuma ofa Azam,