bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
[emoji23][emoji23]kwa hio Dube anapigwa mnadaHapo ni kama mnadani, unaweza kuuza bidhaa kwa laki halafu akaja mteja mwngn anataka bidhaa hy hy kwa laki tano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]kwa hio Dube anapigwa mnadaHapo ni kama mnadani, unaweza kuuza bidhaa kwa laki halafu akaja mteja mwngn anataka bidhaa hy hy kwa laki tano
Si ndiooooo, ndo mana kuna team kadhaa zinamtaka kwahy yupo mnadani 😂[emoji23][emoji23]kwa hio Dube anapigwa mnada
B… Na akili zako zote ila likija suala la Simba huwa unaziweka pembeni unakuwa shabiki kama Kisugu.Rudia tena kuisoma hiyo taarifa Mkuu, hiyo imekaa kwa mtindo wa kama kumkomoa Dube alazimishwe kwenda asikopataka.
Hapo kwa timu hizo mbili chaguo lake ni Simba tu, kwa sababu Dube hawezi kuwa tayari kwenda kucheza vitani hata iweje.
Na kwa kuwa Yusuph Bakhressa ni mwanachama wa Simba, hiyo ofa anaitoa mwenyewe tu, ni kama Dube anaenda bure Simba.
Hata Yanga wakipeleka ofa, utasikia Simba wamepanda dau. Mwisho wa siku akacheze Simba na siyo Yanga walioanzisha hii 'sinema'.
Ila, yote kwa yote muda utasema kila kitu. Tujipe muda, ila kwa sasa picha ndiyo hiyo.
Ova
Wala sijasema kwa sababu ni shabiki wa Simba, na wala siwalaumu Yanga hata kidogo. Haya mambo ndiyo utamu wenyewe wa ushabiki wa soka.B… Na akili zako zote ila likija suala la Simba huwa unaziweka pembeni unakuwa shabiki kama Kisugu.
Wakati wa Feisal si alionekana ana haki kutaka kuvunja mkataba? Kwanini iwe tofauti Dube akitumia njia ileile?
Hiyo unayoita sinema waasisi ndio hao wanaohaha sasa hivi.