Read Between The Lines: Yanga SC Wanaitwa Kijanja Mezani na Azam FC

Azam wamalizane na dude walilolitengeneza wao wenyewe...
 
B… Na akili zako zote ila likija suala la Simba huwa unaziweka pembeni unakuwa shabiki kama Kisugu.

Wakati wa Feisal si alionekana ana haki kutaka kuvunja mkataba? Kwanini iwe tofauti Dube akitumia njia ileile?

Hiyo unayoita sinema waasisi ndio hao wanaohaha sasa hivi.
 
Wala sijasema kwa sababu ni shabiki wa Simba, na wala siwalaumu Yanga hata kidogo. Haya mambo ndiyo utamu wenyewe wa ushabiki wa soka.

Ujanja wa ndani na nje ya uwanja wa kugusana panapouma, ndiyo tofauti ya soka ba michezo mingine. Iwe kwenye usajili au kwenye mechi zenyewe.

Yanga waliwahiwa wakati ule, kisha nao wakaja kivingine kwa kisasi. Ndiyo soka b..., ndiyo maana makosa ya waamuzi hayaishi viwanjani. Ujanja kuwahi ndiyo soka.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…