mlambaji asali
Senior Member
- Jan 30, 2023
- 150
- 505
Natoa wito Kwa uongozi wa klabu yangu ya Simba kupitia scouting ya timu uwamulike hawa wachezaji wa As Real Bamako. Humu tunapata wachezaji wengi wazuri kwa bei nafuu sana
Nimeona wachezaji wenye uwezo zaidi ya hawa kina baleke, kyombo, sakho, boko, Banda Saido na mauchafu mengine mengi tuliyoyajaza klabuni kwetu.
Ushauri wangu uzingatiwe
Simba nguvu moja
Nimeona wachezaji wenye uwezo zaidi ya hawa kina baleke, kyombo, sakho, boko, Banda Saido na mauchafu mengine mengi tuliyoyajaza klabuni kwetu.
Ushauri wangu uzingatiwe
Simba nguvu moja