Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Ni unanua? Kupangisha ni bei gani?
Kupangisha ni 168 Millions kwa Mwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni unanua? Kupangisha ni bei gani?
Kwamba palm village debe kakabidhiwa Millard Ayo 😂 😂Biashara ya kujenga na kupangisha Tanzania inaelekea kufa kabisa. Sasa hivi hii biashara inapumulia mashine ICU...
Mnazunguka zunguka, ishu ni kwamba private sector imekufa na purchasing power ya watu haipoHapo katikati real estate ilikuwa imekuzwa thamani kuliko kawaida. Taasisi za serikali ziliwekeza pesa nyingi kwenye hii miradi bila kuangalia uhitaji au uchumi wa nchi. Zilikuwa zinashindana kujenga maghorofa.
Wakati wa kupangisha umefika wanakuta uchumi haukubali bei zai za kwenye makaratasi.
Kwa sehemu ile na aina ya nyumba bei siyo kubwa. Sema wabongo wengi tumezoea ''nyumba'' za milioni ishirini. Nikuhakikishie kuwa nyumba nyingi tunazoishi hazina hadhi ya kuitwa nyumba. Nyingi ni muunganisho wa matofali na sementi na bati juu. Hakuna utaalam wowote kwenye kujenga.Kuna siku niliwapigia simu wale jamaa wa Victoria Apartments kuhusu Ghorofa Lao [emoji3][emoji3][emoji2] Duuh eti single bedroom inagharimu 250 Millions [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio sasa hivi ilikua kipindi cha nyuma na mitaa mingi unaingia kwa kulipa kodi tuu na frem zipo nyingi sana Kkoo na biashara imeyumba kutokana na covid kwa hiyo mambo yamekuwa magumu pande nyingi mno...Hio China Plaza si iko Kariakoo? Mbona kuna thread ililetwa humu Kariakoo watu wako tayari kutoa 30m(nje ya Kodi) kupata fremu?!!
OkaySio sasa hivi ilikua kipindi cha nyuma na mitaa mingi unaingia kwa kulipa kodi tuu na frem zipo nyingi sana kkoo na biashara imeyumba kutokana na covid kwa hiyo mambo yamekua magumu pande nyingi mno...
Kariakoo ya sasa mbona wenye frem watakugombea kama mpira wa kona? Ile jeuri yote imeisha. Kwanza zilijengwa nyingi kupita mahitaji. Zimebaki sehemu chache zenye movement nzuri ya wateja ndiyo labda kidogo frem inaweza kuwa shida.Sio sasa hivi ilikua kipindi cha nyuma na mitaa mingi unaingia kwa kulipa kodi tuu na frem zipo nyingi sana kkoo na biashara imeyumba kutokana na covid kwa hiyo mambo yamekua magumu pande nyingi mno...
Hii sasa ndio kuangalia tatizo nje ya siasa.Unajua mimi huwa nasema Magufuli japo hajafanya vizuri lakini kuna lawama nyingine anatupiwa bure. Hebu angalia vitu kama frem za maduka. Ilifikia kipindi kila anayejenga ni lazima aweke frem za maduka. Kariakoo nyumba zote zikageuzwa frem. Kimsingi mitaa yote ya Dar nyumba za mbele zimepambwa na frem za maduka. Kwa hali hii hata uchumi uwe mzuri kiasi gani lakini nyingi ni lazima zitakosa wapangaji.
Wawekezaji au mabeberu?Msikate tamaa... wawekezaji wanakuja na ujenzi utaendelea..
Daah hapo si unanunua a nice 3 bedroom house?Kupangisha ni 168 Millions kwa Mwezi
Tatizo linakuja pale unapopangisha jengo kwa kodi ndogo kiasi ambacho mpangaji akiondoka pesa uliyopata haitoshi hata kufanya ukarabati.Cha kustaajabisha ni pale jengo linakaa bure mmiliki hataki kushusha kodi na anaona ni bora likae tupu hata miaka kumi ilipaswa kwa wakati huu sisi wanyonge tukalie haya maghorofa