Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juve haina uwezo wa kuifunga Madrid. Madrid ni mashine nyingine.Juventus turin leo tunashinda
hawa ni wanangu wa damu
striker wetu Gonzalo Kibonge Higuain
na mdogo wake Paulo Dybala
tunazuia kama Italy tunashambulia kama Argentina
Anakuja kutoka nusu fainali Barcelona. Na Man City ndio anaweza kumtoaYaani afunge yeyote ila cha msingi tu, barcelona atoke mapema!!
Duh, man city simwamini sana... Bora wangekutana na bayan au madrid mapema!!Anakuja kutoka nusu fainali Barcelona. Na Man City ndio anaweza kumtoa
Mkuu kwa Bayern au Madrid katika hatua ya nusu fainali Barcelona anaweza kuwapiga hao. Ila Man City si anajua anajitengenezea historia kwa iyo lazima akomae kuwatoa vigongo hasa Barca. Na ndio maana nasema inaweza ikawa rahisi kwa Man City kuliko hao.Duh, man city simwamini sana... Bora wangekutana na bayan au madrid mapema!!
Anashinda 2-1/3-2Wakuu nikiangalia ilivo real Madrid na kikosi chake kipana n'a nikizingatia ndio kumbe liliobakia wao msimu huu kugombania maana kuingine hamna nafasi ya kuchukua league ninaona lazma juventus afe Léo nyumbani
SAA 21:45 sio mbali ndugu, Madrid kushinda ni must. Afe ronaldo afe Zidane.Juventus turin leo tunashinda
hawa ni wanangu wa damu
striker wetu Gonzalo Kibonge Higuain
na mdogo wake Paulo Dybala
tunazuia kama Italy tunashambulia kama Argentina
Subiria tu mechi za njombe mjiJamani vipi sisi Wa Azam tutacheki hili gemu kupitia chaneli gani? Au sisi tusubili stand vs ndanda