Usijipangie kikosi tuu,
Muangalia kwanza mpinzani wako yupoje ...?
Mpizanai yupo vipi? ndo umpangie beki mua wapatie kumfanyia uchochoro? Magoli yote kashiriki kufungisha beki wa kulia. Nasikama ni leo tu jamaa amezoea kabisa kuwafungisha lakini kocha ana mahaba nae tu. Alikua Ac milan na alikua akikaa bench sasa jiulize juventus yasasa bingwa wa Italia ichukue mchezaji wa bench wa Ac milan ambayo inachezea nafasi ya 7 uko alafu aletwe awe ndio beki yao ya kila siku uwanjani utegemee nini.