Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

IMO it is too early to predict the outcome of this season, because we don't know what will be the results of the remaining games.

Imebaki nusu saa, ubingwa ndio unatutoka hivi hivi.
 
Kuna pengo kubwa la James,Ramos,Marcelo na Pepe
 
WOW! 3-0 What a performance by the home team.
 
Leo mnaweza pigwa hata mkono kwanza ndio dakika ya 68
 
IMO it is too early to predict the outcome of this season, because we don't know what will be the results of the remaining games.

Tatizo tukishakuwa nyuma ya Barca ni nadra sana kutokea timu ya kuwasimamisha wale jamaa. Na mechi za ukingoni Madrid kwa kawaida huwa wanafanya vibaya kwasababu majeruhi na wachezaji wanakuwa tired kwasababu ya mechi nyingi. Lakini tusubiri tuone.
 
Mkuu Salamander, hii game nimeiangalia kwa utulivu mkubwa. Nilichogundua hapa Real Madrid hawana ile spirit ya kawaida. Tumu inacheza kivivu sana. Atletico wapo vizuri pale mbele na middifielder imesimama vizuri. Sijaona jitihada zozote za kutafuta hata goli. Timu imecheza chini ya kiwango kabisa
 
Last edited by a moderator:
Mechi ya RMA na Barca ya March 22nd ni very crucial kwa RMA kushinda ili waweze kujiweka nafasi nzuri ya kutetea ubingwa, ila itakuwa na ushindani wa hali ya juu.

Tatizo tukishakuwa nyuma ya Barca ni nadra sana kutokea timu ya kuwasimamisha wale jamaa. Na mechi za ukingoni Madrid kwa kawaida huwa wanafanya vibaya kwasababu majeruhi na wachezaji wanakuwa tired kwasababu ya mechi nyingi. Lakini tusubiri tuone.
 
Naendelea kusisitiza carlo kakosa mbinu kwa hawa jamaa...kiakil tumeathirika na hapo ndo msingi wa tatizo

Yaani na mimi nashangaa hawa Atletico wametugeuza wateja wao sasa, hii sawa hata kidogo mbona kipindi cha Morinyho tuliwaweza hawa wavuta bangi:what:
 
Yaani na mimi nashangaa hawa Atletico wametugeuza wateja wao sasa, hii sawa hata kidogo mbona kipindi cha Morinyho tuliwaweza hawa wavuta bangi:what:

Sikuona sababu ya kufungwa lile goli la nne, yaani beki zimesimama tu pale, OMG.
 
Mechi ya RMA na Barca ya March 22nd ni very crucial kwa RMA kushinda ili waweze kujiweka nafasi nzuri ya kutetea ubingwa, ila itakuwa na ushindani wa hali ya juu.

Sasa Real wamejiweka kwenye nafasi mbaya sana ya kuchukua ubingwa, kuwafunga Barcelona nyumbani kwao inawezekana lakini sio jambo la mchezo. Na sasa hivi hata wakicheza mechi za Champion league timu nyingine zimeshajijenga kisaikolojia kwamba jamaa wanafungika.
Football ni mchezo wa ugonjwa wa moyo kweli.
 
Nashukuru sijaangalia hii gemu ningeumia sana.

Afadhali usivyoangalia kabisa, manaake inatia simanzi kuona bao nne kama sio Real Madrid. Mwaka 2015 sijui unakuwaje huu, bado game ya Barcelona vile vile nyumbani kwao.
 
With determination everything is possible, IMO it is too early for RMA to panic they just need to pull up their socks and perform to the best of their abilities.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…