Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Daily Express | Real Madrid will replace Raphael Varane by Emric Laporte of Atlétic Bilbao if he leaves next season.
 
Villarreal coach Marcelino: "If Carlo Ancelotti did not take Isco off for Asier Illarramendi, I think we would have won."


Hahaaahaaahaa, that is why i love don Carlo. Wakati isco anatoka tulikuwa tushazidiwa, haukutakiwa mpira wa kuremba aliokuwa anacheza Isco, pale ilikuwa inahitajika creative midfielder ambaye mwenye uwezo wa kuchezesha timu kutokea chini. Wakati huo uwe firm katika defence, kumuingiza Illara ilikuwa ni kumpunguzia majukumu ya kukaba Kroos na at same time awe huru kuichezesha timu kwa mipira mirefu kutokea chini.

Ila bad ni kuwa fans walikuwa wanataka isco abaki wakati game ilishachange toka katika kuoneshana uwezo na dribles nyiingi, na kuegemea katika mbinu zaidi.
 

Game ya jana ilikuwa tough mkuu, wachezaji wenyewe wamekili kuwa wale jamaa si wa kubezwa kama ilivyofikiriwa, kipindi cha pili walibadilisha mchezo kabisa, walijazana katikati ya dimba wakawa wanatanua winga ikawa tia maji tia maji, si umeona wametukosa mara ngapi. Save za Casillas na ile moja Pepe alikatika forward mwenyewe tu, bahati akajigonga miguu akaanguka la sivyo saa hizi watu wangekuwa wanaongea jinsi ya kuuza wachezaji hawatufai.
 
Iker Casillas applauding Dani Carvajal after his wonderful defending.

 
Stumbled against Villarreal will speed up the return of Luka Modric, Ancelotti wants him against Bilbao on Saturday. [via : Abc]

 
Juanfran (Atlético Madrid): "Winning the Champions league is easier than winning the league from Real Madrid and Barca"
 
subiri j5 muone barca anavyompa kipigo huyu v.real tena kwao basi
 
subiri j5 muone barca anavyompa kipigo huyu v.real tena kwao basi

Ndio soka ilivyo ndugu yangu, Malaga kampiga Barcelona ndani ya Camp Nou wakati Real Madrid kachukua point 3 na magoli mawili safi Andalucia. Hata hivyo kwa uzoefu wangu wa kuangalia la liga ngwe ya lala salama huwa haitabiriki, kila timu inataka nafasi ya kushiriki japo Europa league na wachezaji binafsi wanataka kuonyesha viwango kabla ya usajili wa summer.
 

And you call him arrogant?
One of the most kindest footballer "Cristiano Ronaldo."

 
I dont see Anceloti at Real in the next two years
 

Jorge Cysterpiller (Vietto's agent):
"He likes Real Madrid very much along with two German sides. He can sign wherever he wants."

 

James Rodriguez and Florentino Perez attended a dinner last night with the Kings of Spain and the President of Colombia.



 
Menez: “If Pogba does land at Real Madrid, it wouldn't surprise me. He has what it takes to deal with a dressing room as elaborate as Los Blancos."

 
Raphael Varane has played 12 games in a row. The playing time is affecting his knee & the player has had to sit out training sessions. [via : as]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…