Hadi sa hv kwa mtazamo wangu naona kukosekana kwa beki zinazopanda hizi za pembeni kunasababisha hawa jamaa kutumia winga zao vzr kutushambulia,na sijui ndo benchi limeawathir hawa jamaa wawili kias kwamba hawajiamini kabisa....japokuwa coentrao kajisahisha kwa kutoa cross safi ya goli,kingine naona hizi beki za kati hazina maelewano,seems kama wanategeana hizi kuclear,kias kwamba naona dogo isco anapata kazi ya ziada kuja hadi chini kukaba....nafikir kocha anatakiwa amtoe bale na coentrao,...amuingize bambucha marcelo na mjomba modric....wakat huo dogo jesse apashe